PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Kama vipersMakolo huwa wanaalika timu dhaifu ili waonekane bora
Yanga wamemtambulisha Mkude namba sita, utaona na Simba wanamtambulisha Fabrice Ngoma namba sita. Yaani Simba kazi yao kuiga tuYANGA alipotangaza bajeti yake Simba aka mikia nao wakatangaza bajeti yao ya pili.
YANGA walipotangaza wanazindua Jezi mpya wafanya biashara watume maombi yao ,na Simba aka mikia nao wakatoa Tangazo la Jezi na kuwaalika wafanya biashara waweke oda cha kushangaza na tangazo lenyewe wamelitoa na hakuna Jezi mpya.
YANGA wametangaza kucheza na Kaizer tusubili watakujaje tena, maana naona wanenda kwa mihemuko kisa Yanga kafanya na Sisi tufanye.
Waialike Yanga wasipopata wa juu yao.Ili uwe bora inabidi kujipima na walio kuzidi ubora, Yanga kwa upande wao wamelitambua hilo imeona itafute timu iliyo juu yao kwenye rank za Caf ili ijipime nayo.
Ukija kwa upande wa Simba yenyewe ni ya 7 kwenye rank za Caf, waliopo juu yake wote watashiriki nae kwenye Africa Super Leage, je kuna timu itakubali endapo Simba itaialika kwenye Simba day?
Na kama haitakuwa hivyo, je Simba ikialika timu iliyopo chini yake kwenye rank za Caf itakuwa ni kipimo sahihi kwa Simba??
View attachment 2686084
Wivu ni kidondaTusubili tuone, ikumbukwe kuwa
YANGA alipotangaza bajeti yake Simba aka mikia nao wakatangaza bajeti yao ya pili.
YANGA walipotangaza wanazindua Jezi mpya wafanya biashara watume maombi yao ,na Simba aka mikia nao wakatoa Tangazo la Jezi na kuwaalika wafanya biashara waweke oda cha kushangaza na tangazo lenyewe wamelitoa na hakuna Jezi mpya.
YANGA wametangaza kucheza na Kaizer tusubili watakujaje tena, maana naona wanenda kwa mihemuko kisa Yanga kafanya na Sisi tufanye.
Simba haialiki, bali inaalikwa kwenda kuimarisha vikosi vya wanayoialika. Kwa sasa ipo UturukiUkija kwa upande wa Simba yenyewe ni ya 7 kwenye rank za Caf, waliopo juu yake wote watashiriki nae kwenye Africa Super Leage, je kuna timu itakubali endapo Simba itaialika kwenye Simba day?
Jezi zipo tayari.Tusubili tuone, ikumbukwe kuwa
YANGA alipotangaza bajeti yake Simba aka mikia nao wakatangaza bajeti yao ya pili.
YANGA walipotangaza wanazindua Jezi mpya wafanya biashara watume maombi yao ,na Simba aka mikia nao wakatoa Tangazo la Jezi na kuwaalika wafanya biashara waweke oda cha kushangaza na tangazo lenyewe wamelitoa na hakuna Jezi mpya.
YANGA wametangaza kucheza na Kaizer tusubili watakujaje tena, maana naona wanenda kwa mihemuko kisa Yanga kafanya na Sisi tufanye.
Sawa mkuu, niwatakie kila la kheri.Jezi zipo tayari.
Mzigo upo dukani kwa SANDALAND ( upo store), tunasubiri muda ufike uzinduzi wa jezi ufanyike.
Kati ya tarehe 15 na 20 July, jezi zitakuwa madukani Nchi nzima.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Itawaalika mashujaaIli uwe bora inabidi kujipima na walio kuzidi ubora, Yanga kwa upande wao wamelitambua hilo imeona itafute timu iliyo juu yao kwenye rank za Caf ili ijipime nayo.
Ukija kwa upande wa Simba yenyewe ni ya 7 kwenye rank za Caf, waliopo juu yake wote watashiriki nae kwenye Africa Super Leage, je kuna timu itakubali endapo Simba itaialika kwenye Simba day?
Na kama haitakuwa hivyo, je Simba ikialika timu iliyopo chini yake kwenye rank za Caf itakuwa ni kipimo sahihi kwa Simba??
View attachment 2686084
Jana Man U wamecheza mechi ya kujipima na Leeds United iliyoshuka Daraja na Sasa wapo Championship.Ili uwe bora inabidi kujipima na walio kuzidi ubora, Yanga kwa upande wao wamelitambua hilo imeona itafute timu iliyo juu yao kwenye rank za Caf ili ijipime nayo.
Ukija kwa upande wa Simba yenyewe ni ya 7 kwenye rank za Caf, waliopo juu yake wote watashiriki nae kwenye Africa Super Leage, je kuna timu itakubali endapo Simba itaialika kwenye Simba day?
Na kama haitakuwa hivyo, je Simba ikialika timu iliyopo chini yake kwenye rank za Caf itakuwa ni kipimo sahihi kwa Simba??
View attachment 2686084
Ni kawaida tuuItawaalika mashujaa
Uzi wa kizwazwa umeishia hapaJana Man U wamecheza mechi ya kujipima na Leeds United iliyoshuka Daraja na Sasa wapo Championship.
Tarehe 26 wanacheza na Wrexham waliopanda Daraja kuingia League 2
Arsenal leo wanacheza na Nurnberg wapi Bundesliga 2
Liverpool tarehe 19 watacheza na Karlsruher, tarehe 24 Further na tarehe 30 Leicester walioshuka Championship
Kwa hiyo hawa wote naona wanacheza na Timu zilizowazidi uwezo.
Sijafahamu Kwa Nini ukiwa Shabiki wa Yanga unakuwa huna akili
Utopolo wamekurupuka kuiza zao wapate kuokoteza pesa za usajili..mikwali mingi mara bonus sijui nini lakini hakuna jipyaJezi zipo tayari.
Mzigo upo dukani kwa SANDALAND ( upo store), tunasubiri muda ufike uzinduzi wa jezi ufanyike.
Kati ya tarehe 15 na 20 July, jezi zitakuwa madukani Nchi nzima.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mbona umepanicJana Man U wamecheza mechi ya kujipima na Leeds United iliyoshuka Daraja na Sasa wapo Championship.
Tarehe 26 wanacheza na Wrexham waliopanda Daraja kuingia League 2
Arsenal leo wanacheza na Nurnberg wapi Bundesliga 2
Liverpool tarehe 19 watacheza na Karlsruher, tarehe 24 Further na tarehe 30 Leicester walioshuka Championship
Kwa hiyo hawa wote naona wanacheza na Timu zilizowazidi uwezo.
Sijafahamu Kwa Nini ukiwa Shabiki wa Yanga unakuwa huna akili