Baada ya zama za kubebwa na Yamoto Band kupita, Enock Bella atoa wimbo mbaya kupitiliza

WE KUNA KITU CHA WCB ulishawahi kusifia?
TUMESHAKUZOEA HANCE!
acha watu wasikilize watoe maoni yao!
SASA HATA KUSIKILIZA UNAWAZUIA?
WE NANI BANA?
kwa hiyo KEYBOARD YAKO AU?
 
Chuki zisizo kuwa na maana. Muda uliyotumia kumponda mwenzako bora ungefanya shughuli nyingine.
Wimbo upo vizuri mandhari mazuri na yavutia, sauti ipo pouwa kabisa...big up Enock. I hope kuna siku huyu mvivu wa kufikiri atakuja kukupigia magoti kukuombamsamaha kwa dharau hizi.
Kwann watanzania huwa hatupendi mafanikio ya wengine?.....Diamond mlimsema weee adi wengine wakaja na bandiko hapa kuwa anadhalilisha wanawake....ili Vodacom ivunje mkataba wake. Lakini wapi wamebaki kunamisha vichwa chini...mwenzao anakata masafa tu.
 
Kwakweli wimbo sio mzuri ila pia sio mbaya kiasi hicho kilichosemwa na mtoa mada.Kiufupi ni wa kawaida
 
Mimi nimeusikiza siyo mbaya kiasi ambacho mtoa mada kaongea eti wimbo mbaya kupata kutokea sasa utafananisha huo wimbo na lupela?
 
Amnaa kituu,,, WIMBO WA KAWAIDA WALA SIO MBOVU BWANAA ,,achen kupondea pondea watu jamn ,nakat mm nawewe ataa tungeambiwa kutunga verse mbil zakueleweka na saut hatuwezi
 
Umetumia mbinu nzuri ya kumtangaza dogo.

Ila mfahamu kujua kuimba na kuwa na mafanikio katika biashara ya mziki ni vitu viwili tofauti.
 
Hao wapumbavu walikua wanatembelea nyota ta Aslay sana aisee yanii dah ilikua inaniuma sana
 
Mtoa mada unasema wimbo hauchezeki lakini cha ajabu zaidi mwenye huo wimbo anaucheza bila shida yoyote!
 
Nimeona Leo kwenye comedy ya startv bakora wamempiga madongo sana huyo Bella.
 
JAMANI NYIE MJAMUELEWA MTOA MADA KAFANYA HIVYO ILA KUONGEZA VIEWS WA HIYO VIDEO YA ENOCK KWA WATU KUPITIA HIYO PROPAGANDA NA IMANI MTAKUA MMENIELEWA HII NI MOJA YA NJIA YA KUKUZA VIEWS WA WASANII ASILIMIA TUSINI MLIOKOMENTI HUMU MMEIWATCH SO AKTCHUARE MMEMUONGEZEA VIEWES KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…