Baada ya Zambia kuufunga mpaka wa Tunduma na mizigo mingi ya Congo kukawia kufika Congo wajibu mapigo;wawakatia umeme Wazambia!

Baada ya Zambia kuufunga mpaka wa Tunduma na mizigo mingi ya Congo kukawia kufika Congo wajibu mapigo;wawakatia umeme Wazambia!

Inaitwa man to man!


Congo wamekata umeme wao wanaowazalishia Wazambia hiyo ni kwa hatua ya kujibu mapigo kwa sababu ya Zambia kufunga mpaka wa Tunduma na kupelekea mizigo wa Congo kuchelewa kufika kwa wakati na hali hiyo imepelekea wafanyabiashara wa Congo kuingia hasara kubwa!


Chanzo ni Mimi mwenyewe nipo Mpakani mwa Zambia na Congo.
Bumper to bumber hiyo...
 
Stop cheating people Zambia is self sufficient in terms of power it exports to Congo Mozambique Malawi so which Congo cut electricity, Nadhana kijana kalewa konyagi
 
Habari za kijiweni hizi. Unajua mikataba ya nchi na nchi inapofikia kuuziana umeme?

Kwa mfano Ug inauzia Tz umeme. Ila Ug umeme unaweza kata kwao ila wa Tz wasikate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stop cheating people Zambia is self sufficient in terms of power it exports to Congo Mozambique Malawi so which Congo cut electricity, Nadhana kijana kalewa konyagi
Andika tu kiswahili. Kiingereza bado hujakijua vizuri mkuu!
 
Hii nchi imekaa sehemu nzuri sana.
Watoto wa mjini wana sema" SENTA"
Bado Tanzania hatujaanza kutandika vikwazo
Screenshot_20200518-091632.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom