Waichukue Tanesco, sijawahi kulielewa hili shirika toka nizaliwe mpaka nazeeka sasa bloody hell!π‘π‘π‘:Ikitokea tz nashauri wauchukue uwanja wa chato
Ke watachukua mpaka Masai mara na wananchi wote watabebwa na wachinaJirani zetu kenya ndiyo wanafuatia.
Kweli nyie ni failed state.Huku kenya watachukua mombasa port pia hata uwanja wa JKIA .
You not slow like your friends...nimekubali mkuu.Kweli nyie ni failed state.
Nimecheka Sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Waichukue Tanesco, sijawahi kulielewa hili shirika toka nizaliwe mpaka nazeeka sasa bloody hell!π‘π‘π‘:
Unajua maana ya kuandaa feasibility study Mombasa mpaka Malaba? πWaichukue Steiglers gorge pia hata uwanja wetu wa JNIA.
Unajua maana ya ukoloni?Kama Mwaafrika hii siyo habari ya kufurahia hata suala la Zambia ni jukumu la AU au SADC kuingilia na kusaidia kwasababu huu ni ukoloni sasa. Hivi vitu Waafrika tunavichukulia kiwepesi lakini ndivyo mababu zetu walivyojikuta wanatawaliwa kilianza kijiji kimoja ghafla bin vu bara zima limechukuliwa.
Wacha kuropoka Bagamoyo hamna bandari kusema imechukuliwa na Mchina hajihusishi na gesi ya Tanzania.Unajua maana ya ukoloni?
Ukoloni wanachukua mali kwa mabavu na kwa kutumia nguvu za kijeshi..
SADC hawawezi kuingilia kati sababu Zambia, Kenya waliingia mkataba na hao Wachina, hawakulazimishwa ni makubaliano, wakivunja mkataba China wakienda kwenye mahakama za kimataifa za usuluhishi wataondoka na nusu ya nchi..
Wakulaumiwa ni hawa wasomi wetu, wanaanzisha miradi wanaichukulia mikopo mikubwa ambayo haiji kurudisha hela ya mkopo..
SRG ya kenya wameipiga mara 3 ya hela halisi...
Tanzania hatuna mikopo mikubwa china, Tanzania tunakopa IFM, World Bank,
Gas ya mtwara ilisha chukuliwa na wachina 70+%
Bandari ya bagamoyo na yenyewe ilisha chukuliwa nafikiri
Hiyo SG wanaisubiria ikamilike, hawawezi kufanya hivyo kwa sasa..Waichukue Steiglers gorge pia hata uwanja wetu wa JNIA.