Ahaaa haaaaa haaaaa
punguza povu mzee,
acha tuongelee uwezekano wa bandari ambayo ndiyo uti wa mgongo kuchukuliwa.
kumbuka hiyo maneno mingi haisaidii the mandarin speaking people to foreclose your big revenue generating facility.
Teh teh teh
Mmekuja kutupa raha asee maana mnavyotapatapa humu.......sijui nani anamuhitaji mwenzie maana nyie ndo mnazidi kujipendekeza kwa wenzenu hata kama hawawatakiUpo sahihi, ndio uti wa mgongo ukanda wote huu unaitegemea hadi Tanzania kaskazini na kanda ziwa, hivyo sio kitu cha kuachiwa kizembe, mtaumia sana.....hehehe huwa mnanipa raha kwa kweli.
Upo sahihi, ndio uti wa mgongo ukanda wote huu unaitegemea hadi Tanzania kaskazini na kanda ziwa, hivyo sio kitu cha kuachiwa kizembe, mtaumia sana.....hehehe huwa mnanipa raha kwa kweli.
sasa inakueje mtu wangu, hawa jamaa wameshaweka mazingira ya kuinyakua Bandari yenu kama ile ya Sri Lanka na Zambia.
serikali ilisaini mkataba kama vile ni corporate finance, badala ya project finance ambayo ina limited to non recause privileges. Ona sasa at any time T, these guys may take the facility. "The asset (Mombasa Port) is exposed to risk of foreclosure as there is no sovereign immunity, because the government waived the immunity on KPA assets".
Haya mambo yapo nje ya uwezo wako kifikira, leteni mtaalam nijadili naye halafu atawashushia kwenye level yenu.
Kwanza kapate darasa kuhusu how bilateral loan agreements between governments works.
Halafu pia issue ya Sri-Lanka huwa mnaivalia njuga bila kuelewa nini kilitendeka pale, katafute mtu akuweke sawa kwa lugha utakayoielewa. Au pia uelezwe kilichotendeka kwa Zambia which is a single commodity economy
In the meantime, Total is having a second thought on Hoima - Tanga pipeline, our refinery will be ready by 2021, in one year alone Kenya spent 249 billion on imported petroleum, so once we begin oil refinery, this Chinese loan will be a pocket change.
Cargo terminating through our port has increased tremendously, the SGR has transported more than two million people in one year alone...
Our port is the most connected in the region with about 33 shipping lines providing direct connectivity to 80 ports globally.
I can go on and on, am not even sure why am bothering to explain stuffs outside your comprehension.
Naskia mmeanza kusafirisha lori za maji toka kisumu huko hongereniHaya mambo yapo nje ya uwezo wako kifikira, leteni mtaalam nijadili naye halafu atawashushia kwenye level yenu.
Kwanza kapate darasa kuhusu how bilateral loan agreements between governments works.
Halafu pia issue ya Sri-Lanka huwa mnaivalia njuga bila kuelewa nini kilitendeka pale, katafute mtu akuweke sawa kwa lugha utakayoielewa. Au pia uelezwe kilichotendeka kwa Zambia which is a single commodity economy
In the meantime, Total is having a second thought on Hoima - Tanga pipeline, our refinery will be ready by 2021, in one year alone Kenya spent 249 billion on imported petroleum, so once we begin oil refinery, this Chinese loan will be a pocket change.
Cargo terminating through our port has increased tremendously, the SGR has transported more than two million people in one year alone...
Our port is the most connected in the region with about 33 shipping lines providing direct connectivity to 80 ports globally.
I can go on and on, am not even sure why am bothering to explain stuffs outside your comprehension.
Hahahahaha, GDP isiyoweza kulipa deni la wachina, isiyoweza kujenga hata kilometer moja kwa pesa za ndani, isiyoweza kupunguza unemployment, isiyoweza kuzalisha chakula cha kutosha, isiyoweza kupunguza slums, hiyo ni GDP au Gross corruption Product?(DCP).Wanaombea Kenya mabaya, nakumbuka kabla ya uchaguzi wengi walisema tujitayarishe kuwa wakimbizi Tz, wengine wakidhihaki na kusema tusikimbilie kwao, lakini wapi!! Sasa wakenya wanaungana kufanya maendeleo, GDP growth as at November ilikua kwa 6%., imagine ya 80Bln plus kwa 6%., na yao ya 56Bln na growth ya 7%., wataisoma number hadi kieleweke..,
Wivu ni mbaya sana!.,
Ahaaa haaaaa
The text in red, hamna ulichoeleza zaidi ya kushusha povu,
and the text in blue, please fungua uzi tujadili. wengine siyo wavivu kuandika.
lastly, kuna wakenya wawili, naam watatu ambao wakiandika kitu, huwa natoka na kitu. coz they are talking about issues n not otherwise.
Mnatunufaisha huku nyie mnakufa njaa........pua nyang'auKutoka na kitu au kapa hilo sio tatizo langu maana sina control na mapungufu ya uwezo wako ambayo mwalimu alishindwa kurekebisha.
Ni Watanzania wachache sana hunufaika na elimu wanayopata kutoka kwa Wakenya humu, wengine wenu mpo mpo tu siku ziende.
Kutoka na kitu au kapa hilo sio tatizo langu maana sina control na mapungufu ya uwezo wako ambayo mwalimu alishindwa kurekebisha.
Ni Watanzania wachache sana hunufaika na elimu wanayopata kutoka kwa Wakenya humu, wengine wenu mpo mpo tu siku ziende.
ahaaaa haaaaaa
siwezi kuingia kwenye mtego wa ku attack personalities.
Please give the professional opinion of the matter at hand.... "The Mandarin Speaking People to Foreclose the Kenya's major Revenue Source, Mombasa Port."
Let's start with this,
Karibu.
Teh teh teheee tih tih tih.
Tafuta mtu akufundishe jinsi ya kuuliza kitaalam ili ujibiwe kitaalam, ukijaza mipasho ile yako ya kila siku utachukuliwa kama ulivyo.....
Kwanza kuhusu Reli kufika Uganda nikuwa Exim Bank China kasitisha mikopo Africa kwa muda usiojulikana...Hii nikutokana na kudolola kwa Uchumi Africa...Hiyo habari nimeipata kutoka Ethiopia walipokutana na prime minister wao...π π πAhaaa haaaaa haaaaa
punguza povu mzee,
acha tuongelee uwezekano wa bandari ambayo ndiyo uti wa mgongo kuchukuliwa.
kumbuka hiyo maneno mingi haisaidii the mandarin speaking people to foreclose your big revenue generating facility.
Teh teh teh
Kasome kwenu huku lazima utoke kapa tu msifosi mamboSometimes I have to read several times to comprehend what some Tanzanians write.Using some vocabularies that they don't understand just to show the world that they know everything.
Kwanza kuhusu Reli kufika Uganda nikuwa Exim Bank China kasitisha mikopo Africa kwa muda usiojulikana...Hii nikutokana na kudolola kwa Uchumi Africa...Hiyo habari nimeipata kutoka Ethiopia walipokutana na prime minister wao...π π π
Sometimes I have to read several times to comprehend what some Tanzanians write.Using some vocabularies that they don't understand just to show the world that they know everything.