Baadhi Wakenya wa Mombasa, jameni acheni ukaidi, mtanasa kwenye siasa za Tanzania kichwa kichwa

Baadhi Wakenya wa Mombasa, jameni acheni ukaidi, mtanasa kwenye siasa za Tanzania kichwa kichwa

Nimeona baadhi ya Wakenya wa Mombasa wakitishia kugoma kupimwa Corona na kutolea mifano ya Tanzania ambako matikiti maji, mapaipai n.k. zinapmwa na kukutwa na Corona.

Ndugu zangu Wakenya, muhimu tuchangamkie hili zoezi la "mass testing" ambalo linaendelea, tupange foleni na kupimwa kila mmoja wetu, binafsi nakusudia kupima Jumapili ijayo, acheni kuingia kwenye siasa za Tanzania kichwa kichwa, ifahamike wale wamesalia na miezi michache kabla kuingia kwenye uchaguzi mkuu, hivyo kila kitu kwao kwa sasa kinapelekeshwa kwa milengo, mitazamo na misimamo ya kisiasa, hata janga kama hili ambalo ni hatari kwa dunia, ukipitia majukwaa yao ya kisiasa na mitandao ya kijamii, wanajadili hiki kirusi kwa mihemko ya kisiasa.

Tikitaka zao za mananasi, mapaipai oili ya gari n.k. visisababishe tususie hii shughuli kwetu, muhimu tukafahamu juzi tumeona CDC wametolea takwimu za Tanzania kwamba huko hadi sasa wamepima watu 652 pekee yake na kupata idadi ya walioambukizwa kuwa 480, hiyo inaonyesha uwezekano wa kwanini mkulu wao ana hasira, angalia hotuba zake zimejaa hasira balaa.
Ukipitia majukwaa yao ya kisiasa humu JF, nyuzi za tanzia huibuka kila siku, mara waziri kadondoka na kufariki, mara mbunge, pia tunona wanavyotupia video na mapicha ya mambo yanayotendeka kwao, ukikumbuka RC wa Dar mwenyewe aliwahi kunukuliwa akitahadharisha watu wa mikoani wasije Dar maana huko wanapukutika kama majani, ni mwendo wa mazishi.

Jameni jameni chonde chonde Wakenya muhimu tukafahamu kwamba kwa kupimwa na kujua hali yako, itakusaidia kuwalinda uwapendao, inawezekana wewe ukawa na uwezo mkubwa wa kupambana na kirusi, lakini pia ukawaambukiza familia yako na kuwazika kadhaa, ujikute unamzika mkeo au mumeo, au mwanao, hivyo kuna umuhimu mkubwa wa kujua hali yako kama ilivyo kwa UKIMWI, pima pima pima, hata ikiwezekana kila wiki pima mara moja maana sasa vipimo vimeshaingia mtaani, ushindwe wewe tu.

Pia natoa wito kwa serikali, itie jitihada za kuhakikisha inagharamikia siku ambazo Wakenya wanaishi kwenye karantini, kama vipi mteue shule kadhaa za bweni na kuzigeuza vituo vya karantini, kisha turuhusiwe kuwaletea wapendwa wetu vyakula ili kupunguzia gharama, mjiongeze kimikakati ili Wakenya wachangamkie hili zoezi.
Halafu mheshimiwa Joho gavan wa gatuzi 001, natoa rai achana kabisa na mikwara kwa watu wako wa Mombasa, hasira hazitosaidia kitu, waelimishe taratibu, kama kunao wapambe wa huyu gavana humu, jaribuni kumshauri hili zoezi halitafaulu kwa kutumia hisia kali, Wakennya sio kama Wabongo ambao kule kwao wakikaripiwa na mkulu wanaufyata wote mpaka hata Corona yenyewe inaingia mitini, kwa Wakenya ukiwajia kwa hasira ndio utakua unawapandisha full mzuka na utashindwa kuwatawala au kuwaelekeza.

Naona Watanzania wameanzisha nyuzi za kujiliwaza kuhusu hili Magufuli aistua Dunia kuhusu vipimo fake vya Corona!, Mombasa wagomea kupima Corona, wamtaja Magufuli amesaidia kustuka, wathibisha JPM is Right!. - JamiiForums


Naona wewe huwa unaiota Tanzania! Sijawahi ona unaanzisha thread ya Kenya kila mara TZ tu. Fanyakazi achana na Watz wewe nyang'au!!
 
unajua matokeo ya mgonjwa wa ukimwi akiishajijua ni mgonjwa?????

huo ni ukimwi ambao still mgonjwa ana nafasi ya kuishi,vipi corona ambayo kupona ni 10%???

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe unasema mgonjwa wa corona kupona ni 10%?? Hesabu ulisoma kweli?? Yaani hao watu wanapona ni 10% tu kwa waathirika???!
 
Hivi kulikua na umuhimu gani wa kuizungumzia na kuikebehi Tanzania kwa kihasi hiki katika huu Uzi?.

Wale wakenya wenye kulalamika kwamba watanzania tunaishambulia Kenya Mara kwa Mara bila sababu wakati wakenya hawana habari na Tanzania mpo wapi?.

Mara nyingi Tanzania tunaishambulia Kenya kama kulipiza mapigo, ila tunajibu kwa nguvu zaidi ya ninyi, ndio sababu mnahisi tunaichukia Kenya. Mkiendelea kutuchokonoa tutawajibu kwa nguvu zote.

cc. Tony254
Sinister
Mwaswast
Geza Ulole
Game over

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi huko Watanzania wanaishambulia Kenya? Mifano?
 
Nimeona baadhi ya Wakenya wa Mombasa wakitishia kugoma kupimwa Corona na kutolea mifano ya Tanzania ambako matikiti maji, mapaipai n.k. zinapmwa na kukutwa na Corona.

Ndugu zangu Wakenya, muhimu tuchangamkie hili zoezi la "mass testing" ambalo linaendelea, tupange foleni na kupimwa kila mmoja wetu, binafsi nakusudia kupima Jumapili ijayo, acheni kuingia kwenye siasa za Tanzania kichwa kichwa, ifahamike wale wamesalia na miezi michache kabla kuingia kwenye uchaguzi mkuu, hivyo kila kitu kwao kwa sasa kinapelekeshwa kwa milengo, mitazamo na misimamo ya kisiasa, hata janga kama hili ambalo ni hatari kwa dunia, ukipitia majukwaa yao ya kisiasa na mitandao ya kijamii, wanajadili hiki kirusi kwa mihemko ya kisiasa.

Tikitaka zao za mananasi, mapaipai oili ya gari n.k. visisababishe tususie hii shughuli kwetu, muhimu tukafahamu juzi tumeona CDC wametolea takwimu za Tanzania kwamba huko hadi sasa wamepima watu 652 pekee yake na kupata idadi ya walioambukizwa kuwa 480, hiyo inaonyesha uwezekano wa kwanini mkulu wao ana hasira, angalia hotuba zake zimejaa hasira balaa.
Ukipitia majukwaa yao ya kisiasa humu JF, nyuzi za tanzia huibuka kila siku, mara waziri kadondoka na kufariki, mara mbunge, pia tunona wanavyotupia video na mapicha ya mambo yanayotendeka kwao, ukikumbuka RC wa Dar mwenyewe aliwahi kunukuliwa akitahadharisha watu wa mikoani wasije Dar maana huko wanapukutika kama majani, ni mwendo wa mazishi.

Jameni jameni chonde chonde Wakenya muhimu tukafahamu kwamba kwa kupimwa na kujua hali yako, itakusaidia kuwalinda uwapendao, inawezekana wewe ukawa na uwezo mkubwa wa kupambana na kirusi, lakini pia ukawaambukiza familia yako na kuwazika kadhaa, ujikute unamzika mkeo au mumeo, au mwanao, hivyo kuna umuhimu mkubwa wa kujua hali yako kama ilivyo kwa UKIMWI, pima pima pima, hata ikiwezekana kila wiki pima mara moja maana sasa vipimo vimeshaingia mtaani, ushindwe wewe tu.

Pia natoa wito kwa serikali, itie jitihada za kuhakikisha inagharamikia siku ambazo Wakenya wanaishi kwenye karantini, kama vipi mteue shule kadhaa za bweni na kuzigeuza vituo vya karantini, kisha turuhusiwe kuwaletea wapendwa wetu vyakula ili kupunguzia gharama, mjiongeze kimikakati ili Wakenya wachangamkie hili zoezi.
Halafu mheshimiwa Joho gavan wa gatuzi 001, natoa rai achana kabisa na mikwara kwa watu wako wa Mombasa, hasira hazitosaidia kitu, waelimishe taratibu, kama kunao wapambe wa huyu gavana humu, jaribuni kumshauri hili zoezi halitafaulu kwa kutumia hisia kali, Wakennya sio kama Wabongo ambao kule kwao wakikaripiwa na mkulu wanaufyata wote mpaka hata Corona yenyewe inaingia mitini, kwa Wakenya ukiwajia kwa hasira ndio utakua unawapandisha full mzuka na utashindwa kuwatawala au kuwaelekeza.

Naona Watanzania wameanzisha nyuzi za kujiliwaza kuhusu hili Magufuli aistua Dunia kuhusu vipimo fake vya Corona!, Mombasa wagomea kupima Corona, wamtaja Magufuli amesaidia kustuka, wathibisha JPM is Right!. - JamiiForums

Ndio maana watu wanaogopa kwenda kufanya testing.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona baadhi ya Wakenya wa Mombasa wakitishia kugoma kupimwa Corona na kutolea mifano ya Tanzania ambako matikiti maji, mapaipai n.k. zinapmwa na kukutwa na Corona.

Ndugu zangu Wakenya, muhimu tuchangamkie hili zoezi la "mass testing" ambalo linaendelea, tupange foleni na kupimwa kila mmoja wetu, binafsi nakusudia kupima Jumapili ijayo, acheni kuingia kwenye siasa za Tanzania kichwa kichwa, ifahamike wale wamesalia na miezi michache kabla kuingia kwenye uchaguzi mkuu, hivyo kila kitu kwao kwa sasa kinapelekeshwa kwa milengo, mitazamo na misimamo ya kisiasa, hata janga kama hili ambalo ni hatari kwa dunia, ukipitia majukwaa yao ya kisiasa na mitandao ya kijamii, wanajadili hiki kirusi kwa mihemko ya kisiasa.

Tikitaka zao za mananasi, mapaipai oili ya gari n.k. visisababishe tususie hii shughuli kwetu, muhimu tukafahamu juzi tumeona CDC wametolea takwimu za Tanzania kwamba huko hadi sasa wamepima watu 652 pekee yake na kupata idadi ya walioambukizwa kuwa 480, hiyo inaonyesha uwezekano wa kwanini mkulu wao ana hasira, angalia hotuba zake zimejaa hasira balaa.
Ukipitia majukwaa yao ya kisiasa humu JF, nyuzi za tanzia huibuka kila siku, mara waziri kadondoka na kufariki, mara mbunge, pia tunona wanavyotupia video na mapicha ya mambo yanayotendeka kwao, ukikumbuka RC wa Dar mwenyewe aliwahi kunukuliwa akitahadharisha watu wa mikoani wasije Dar maana huko wanapukutika kama majani, ni mwendo wa mazishi.

Jameni jameni chonde chonde Wakenya muhimu tukafahamu kwamba kwa kupimwa na kujua hali yako, itakusaidia kuwalinda uwapendao, inawezekana wewe ukawa na uwezo mkubwa wa kupambana na kirusi, lakini pia ukawaambukiza familia yako na kuwazika kadhaa, ujikute unamzika mkeo au mumeo, au mwanao, hivyo kuna umuhimu mkubwa wa kujua hali yako kama ilivyo kwa UKIMWI, pima pima pima, hata ikiwezekana kila wiki pima mara moja maana sasa vipimo vimeshaingia mtaani, ushindwe wewe tu.

Pia natoa wito kwa serikali, itie jitihada za kuhakikisha inagharamikia siku ambazo Wakenya wanaishi kwenye karantini, kama vipi mteue shule kadhaa za bweni na kuzigeuza vituo vya karantini, kisha turuhusiwe kuwaletea wapendwa wetu vyakula ili kupunguzia gharama, mjiongeze kimikakati ili Wakenya wachangamkie hili zoezi.
Halafu mheshimiwa Joho gavan wa gatuzi 001, natoa rai achana kabisa na mikwara kwa watu wako wa Mombasa, hasira hazitosaidia kitu, waelimishe taratibu, kama kunao wapambe wa huyu gavana humu, jaribuni kumshauri hili zoezi halitafaulu kwa kutumia hisia kali, Wakennya sio kama Wabongo ambao kule kwao wakikaripiwa na mkulu wanaufyata wote mpaka hata Corona yenyewe inaingia mitini, kwa Wakenya ukiwajia kwa hasira ndio utakua unawapandisha full mzuka na utashindwa kuwatawala au kuwaelekeza.

Naona Watanzania wameanzisha nyuzi za kujiliwaza kuhusu hili Magufuli aistua Dunia kuhusu vipimo fake vya Corona!, Mombasa wagomea kupima Corona, wamtaja Magufuli amesaidia kustuka, wathibisha JPM is Right!. - JamiiForums

Msikize huyo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu lini Mombasa ikawa na undugu na tanga?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wale ni ndugu bro, nawafahamu sana, kuna wabongo wa huko huko Tanga nimeishi nao na ilikua inanichukua nguvu nyingi sana kukosa kuamini wao sio watu wa Mambasani. Wanaachangia baadh ya makabila kama Wadigo vile.
Hii ndio sababu corona inapandisha sana Mombasa maana watu wa Tanga huingia tu.
 
Basi ungelinganisha hivyo pia makabila yote ambayo yapo mpakani, Mombasa haipo mpakani na tanzania,mtu kutoka tanga aje aishi Mombasa au atoke Mombasa aishi tanga haileti undugu wowote pale,huyu anabaki tu mkenya na yule anabaki tu mtanzania ,kwa taarifa yako Mombasa ni mchanganyiko wa makabila madogo ya kabila kubwa la kimijikenda Kama ni wadigo unazungumzia Basi hio itakua kwale county,tanga haina mchonyi,tanga haina mrabai,tanga haina mgiryama,tanga haina mribe wala mdhuruma Sasa huo undugu unatokea wapi ? Au kwa sababu ya wadigo wachache ambayo wapo Mombasa? Wadigo kwao ni kwale na hao ndio watu wa tanga.mombasa haina uhusiano wowote na tanga no muingiliano tu wa watu kipindi hichi kwa ajili ya mishe na Kama unazungumzia wagunya au hata bajuni Wana asili Yao sio tanga Kaka.
Wale ni ndugu bro, nawafahamu sana, kuna wabongo wa huko huko Tanga nimeishi nao na ilikua inanichukua nguvu nyingi sana kukosa kuamini wao sio watu wa Mambasani. Wanaachangia baadh ya makabila kama Wadigo vile.
Hii ndio sababu corona inapandisha sana Mombasa maana watu wa Tanga huingia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila siku tunawaambia kwamba Mombasa ni eneo la Tanzania lakini hamsikii!

Si mnaona binamu zetu tunavyo-match nao kila kitu!!
 
Back
Top Bottom