Asante kwa kutukumbusha orodha ya ajari zinazofanana kutoke hapa Africa.Deadliest oil tanker blasts in Africa
Here is a recap of the most deadly tanker blasts in Africa in the last decade, after at least 60 people died in Tanzania on Saturday when a fuel tanker exploded after overturning.www.deccanherald.com
Angalia video kabla ya ajali halafu useme kama zile sura ni za majobless, appearances zao sio za waliokosa ajira, after all waliopoteza maisha 80% ni madereva bodaboda RIP.Hata hapa Kenya ilitendeka, nadiriki kukiri kwamba chanzo kikubwa ni ukosefu wa ajira kwa vijana, japo niliona Watanzania humu wakijisifu kwamba kwao hamna tatizo la ajira, eti hao waliungua tu kisa tamaa.
Umaskini upo, vijana hawana ajira, wapo tayari kuhatarisha maisha, leo hii hata basi la abiria likihusika kwenye ajali, vijana wanawaibia majeruhi bila kujali utu.
Angalia video kabla ya ajali halafu useme kama zile sura ni za majobless, appearances zao sio za waliokosa ajira, after all waliopoteza maisha 80% ni madereva bodaboda RIP.
ALiyesema kuwa tanzania 🇹🇿 haina upungufu wa ajira ni mpumbavu.Hata hapa Kenya ilitendeka, nadiriki kukiri kwamba chanzo kikubwa ni ukosefu wa ajira kwa vijana, japo niliona Watanzania humu wakijisifu kwamba kwao hamna tatizo la ajira, eti hao waliungua tu kisa tamaa.
Umaskini upo, vijana hawana ajira, wapo tayari kuhatarisha maisha, leo hii hata basi la abiria likihusika kwenye ajali, vijana wanawaibia majeruhi bila kujali utu.
Nitafute attention kwako kwa kipi hasa? After all who needs anonymity attention? Lol you the regional jobless masterpieceDesperate attention seeker, kwa hivyo mumeshachambua hiyo miili na kujua yupi alikua dereva wa bodaboda na yupi hakua na ajira. MaCCM kweli mumeikandamiza nchi yenu maana kuna mataifa ukitoa tamko kama hili unashambuliwa kishenzi, lakini kwa watu waliokata tamaa na kukubali kubamizwa, wanapiga kimya tu.
Haina upungufu wa ajira ndio sababu tunaenda na takwimu tena from independent and current sourcesALiyesema kuwa tanzania 🇹🇿 haina upungufu wa ajira ni mpumbavu.
Waaalimu tu wa artshawapewi ajira. Wakati shuleni hakuna waaalimu.
Salaam,Desperate attention seeker, kwa hivyo mumeshachambua hiyo miili na kujua yupi alikua dereva wa bodaboda na yupi hakua na ajira. MaCCM kweli mumeikandamiza nchi yenu maana kuna mataifa ukitoa tamko kama hili unashambuliwa kishenzi, lakini kwa watu waliokata tamaa na kukubali kubamizwa, wanapiga kimya tu.
Hata hapa Kenya ilitendeka, nadiriki kukiri kwamba chanzo kikubwa ni ukosefu wa ajira kwa vijana, japo niliona Watanzania humu wakijisifu kwamba kwao hamna tatizo la ajira, eti hao waliungua tu kisa tamaa.
Umaskini upo, vijana hawana ajira, wapo tayari kuhatarisha maisha, leo hii hata basi la abiria likihusika kwenye ajali, vijana wanawaibia majeruhi bila kujali utu.
Hio source ni crap.Haina upungufu wa ajira ndio sababu tunaenda na takwimu tena from independent and current sources
View attachment 1178038
Kuhusu ajira kwa walimu ni juzi tu serikali imetoa ajira mpya zaidi ya 4500 kwa walimu.
TAMISEMI yatangaza Nafasi za kazi 4549 kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari
Ofisi ya Rais - TAMISEMI inapenda kuutangazia Umma kuwa Serikali imetoa kibali cha nafasi za ajira ya walimu ili kujaza nafasi wazi zilizopatikana kutokana na walimu waliofariki, walioacha kazi, waliofukuzwa utumishi na wastaafu kuanzia kipindi cha Julai, 2018 hadi Juni, 2019. Kwa sababu hiyo...www.jamiiforums.com
Ukiongea kama mtu mzima mwenye utimamu pahala ongea kwa facts.
Wakati mwingine vijana ajira wanazo ila hawajui kama wanazo...walikufa morogoro wengi wao ni bodaboda...hiyo ni ajira haswaaa...tatizo ni tamaa tu...wamesahau tamaa mbele mauti nyuma!Hata hapa Kenya ilitendeka, nadiriki kukiri kwamba chanzo kikubwa ni ukosefu wa ajira kwa vijana, japo niliona Watanzania humu wakijisifu kwamba kwao hamna tatizo la ajira, eti hao waliungua tu kisa tamaa.
Umaskini upo, vijana hawana ajira, wapo tayari kuhatarisha maisha, leo hii hata basi la abiria likihusika kwenye ajali, vijana wanawaibia majeruhi bila kujali utu.
Nimeweka link mkuuMkuu, umeweka heading bila habari tafadhali...
Here is a recap of the most deadly tanker blasts in Africa in the last decade, after at least 60 people died in Tanzania on Saturday when a fuel tanker exploded after overturning.Mkuu, umeweka heading bila habari tafadhali...
Here is a recap of the most deadly tanker blasts in Africa in the last decade, after at least 60 people died in Tanzania on Saturday when a fuel tanker exploded after overturning.Deadliest oil tanker blasts in Africa
Here is a recap of the most deadly tanker blasts in Africa in the last decade, after at least 60 people died in Tanzania on Saturday when a fuel tanker exploded after overturning.www.deccanherald.com
Wakati mwingine vijana ajira wanazo ila hawajui kama wanazo...walikufa morogoro wengi wao ni bodaboda...hiyo ni ajira haswaaa...tatizo ni tamaa tu...wamesahau tamaa mbele mauti nyuma!
Ni ukisefu wa hela ila ajira ipo so hio no sawa na unemployment afu juu yake ujinga na ukosefu wa masomo na pia tamaa.Angalia video kabla ya ajali halafu useme kama zile sura ni za majobless, appearances zao sio za waliokosa ajira, after all waliopoteza maisha 80% ni madereva bodaboda RIP.
Hizo ni stats kutoka International labour organisation na AfDB kama unazo substitute zilete, sio maneno hewa.Hio source ni crap.
Hao walidanganya kuwa uchumi umepanda kwa 7% kumbe kiukweli ni 4.5% na wakabadilishaa sheria ya takwimu hapo hapo ili kuwadanganya wananchi.