Ajira ipi? Wewe unaongea pumba gani? Mtu anaemiliki chombo cha usafiri tayari amevuka kiwango cha chini cha umasikini cha kimataifa, kama mtu anamiliki chombo cha moto na uwezo wa kikuhudumia anao maana yake kuhimili mahitaji yake ya msingi tayari anayamudu. Huyo sio masikiniNi ukisefu wa hela ila ajira ipo so hio no sawa na unemployment afu juu yake ujinga na ukosefu wa masomo na pia tamaa.
Tulikuwa hapo miaka kumi iliyopita...tunapowaambia mpo nyuma yetu zaidi ya miaka 10 mnatokwa povu.
Sasa amefariki kwa ujinga na chombo chake kuharibika na kuwacha Bibi yake mjane na watoto pia kumkosa baba kitega uchumi...Sasa familia kabaki masikini zaidi. Had you thought about it in such an angle ama ulitumia akili za kidanganyika?Ajira ipi? Wewe unaongea pumba gani? Mtu anaemiliki chombo cha usafiri tayari amevuka kiwango cha chini cha umasikini cha kimataifa, kama mtu anamiliki chombo cha moto na uwezo wa kikuhudumia anao maana yake kuhimili mahitaji yake ya msingi tayari anayamudu. Huyo sio masikini
Miaka 100 ya kufa njaa hilo kweli mlitupita, sio 10 tu. Revisit your data on that.
Yaani wewe Unataka kuforce matatizo yaliyopo Kenya yawepo Tanzania 😂😂😂😂 hilo halitokaa liwe, mnatumia nguvu nyingi sana kujidanganya umasikini, ufisadi, njaa na ukosefu wa ajira uliopo Kenya pia Tanzania upo badala ya kujifunza ni kwa namna gani you take a leaf out of us ili mbadilike.Swali la msingi, mlitumia mbinu gani kutabainisha kwamba hao 60 ni madereva wa bodaboda, au ni ile tu mliona kuna bodaboda zimeungua, ina maana madereva walikwenda kuchota mafuta huku wakiendesha pikipiki zao hapo......
Tatizo lipo, mtaficha vichwa ardhini lakini litaendelea kuvimba, kumbuka sio mara ya kwanza http://michaelmazalla.blogspot.com/2015/02/watu-watatu-wafariki-18-wajeruhiwa.html#.XU-09_IzbIU
Bwanaee kila mtu na utashi wake hata marekani watu wengi tu wanakufa kwa meth and other addicts hata Kenya mlikufa zaidi ya 6000 on the same tragic plus hunger.Sasa amefariki kwa ujinga na chombo chake kuharibika na kuwacha Bibi yake mjane na watoto pia kumkosa baba kitega uchumi...Sasa familia kabaki masikini zaidi. Had you thought about it in such an angle ama ulitumia akili za kidanganyika?
Mtaishi kuwa nyuma yetu hata kwa njaa, kwani umesahau kinyesi?
Mambo Haya ya mafuta yameweka wazi upungufu mkubwa wa Tz ambao mnauficha. Hakuna mtu aliye na pesa yake atakwenda kuchota mafuta yaliomwagika na akifanya hivyo basi akili zake punguani....So ni Umasikini au Akili punguani?
Vile nyie mnakufa kwa magonjwa a utapiamlo...hapo sawa kabisa.Bwanaee kila mtu na utashi wake hata marekani watu wengi tu wanakufa kwa meth and other addicts hata Kenya mlikufa zaidi ya 6000 on the same tragic plus hunger.
😅😅😅 Tanzania kama ni malnutrition deaths basi ni obesity sio marasmic kuashiorkor inayoondoa Wakenya wengi.Vile nyie mnakufa kwa magonjwa a utapiamlo...hapo sawa kabisa.
Angalia video kabla ya ajali halafu useme kama zile sura ni za majobless, appearances zao sio za waliokosa ajira, after all waliopoteza maisha 80% ni madereva bodaboda RIP.
Hapa umetumia lugha gani?Kwa akili yako unazani dreva boda boda ni wote wanapenda ile kazi.jitadhimin mkuu ile sio ajira ni kuganga njaa.mimi boda boda nikihatarishi au kidonda inatembea nacho
Bali na kula kinyesi😅😅😅 Tanzania kama ni malnutrition deaths basi ni obesity sio marasmic kuashiorkor inayoondoa Wakenya wengi.
Sasa amefariki kwa ujinga na chombo chake kuharibika na kuwacha Bibi yake mjane na watoto pia kumkosa baba kitega uchumi...Sasa familia kabaki masikini zaidi. Had you thought about it in such an angle ama ulitumia akili za kidanganyika?
Mtaishi kuwa nyuma yetu hata kwa njaa, kwani umesahau kinyesi?
Mambo Haya ya mafuta yameweka wazi upungufu mkubwa wa Tz ambao mnauficha. Hakuna mtu aliye na pesa yake atakwenda kuchota mafuta yaliomwagika na akifanya hivyo basi akili zake punguani....So ni Umasikini au Akili punguani?
Sikuelewi na Hii habari yako na sijui inahusika aje na ajali yenu ya mafuta...may they rest in peace.Two in court for stealing dead body and claiming insurance cash
Two families are battling over ownership of the body, which was covered for five years.www.the-star.co.ke
Stop robbing crash victims on pretext of saving them - cleric
A Catholic cleric has urged people living near major roads to stop stealing from accident victims.Father Innocent Mocha said on Sunday some people who rush to accident scenes steal from the injured instead of helping to save lives.He said, however, some are genuine Good Samaritans who help...www.the-star.co.ke
Sikuelewi na Hii habari yako na sijui inahusika aje na ajali yenu ya mafuta...may they rest in peace.
Sasa amefariki kwa ujinga na chombo chake kuharibika na kuwacha Bibi yake mjane na watoto pia kumkosa baba kitega uchumi...Sasa familia kabaki masikini zaidi. Had you thought about it in such an angle ama ulitumia akili za kidanganyika?
Mtaishi kuwa nyuma yetu hata kwa njaa, kwani umesahau kinyesi?
Mambo Haya ya mafuta yameweka wazi upungufu mkubwa wa Tz ambao mnauficha. Hakuna mtu aliye na pesa yake atakwenda kuchota mafuta yaliomwagika na akifanya hivyo basi akili zake punguani....So ni Umasikini au Akili punguani?
Miaka kumi iliyopita yani 2009. Waliokufa wakichota mafuta ni wajinga, wenye tamaa na masikini. Mbona RC wa Morogoro hakupatikana pale ikichota mafuta? Tumia akili Babaa na ukubali ukweli.Wewe ni mjinga na hauna akili...
Jaribu kushirikisha ubongo wako kabla hujajadili chochote..
Kenya ni middle income ajali kama hii iliwahi kutokea,wale wakenya 50 waliokufa walikuwa maskini..???
Nitafute attention kwako kwa kipi hasa? After all who needs anonymity attention? Lol you the regional jobless masterpiece
View attachment 1178036
Na kuhusu marehemu RIP kuwa ni madereva boda ni kwa mujibu wa waliopo eneo la tukio, after all boda nyingi zimeungua vile vile na Morogoro ni kati ya mikoa Tanzania haina shida ya ajira kabisa.
Miaka kumi iliyopita yani 2009. Waliokufa wakichota mafuta ni wajinga, wenye tamaa na masikini. Mbona RC wa Morogoro hakupatikana pale ikichota mafuta? Tumia akili Babaa na ukubali ukweli.
Ninacho maanisha ni kuwa masikini ndio walikufa, maana ya RC sio hiyo ulioshika Bali ni watu wa class kama yake hawakuchomeka, hata dereva wa hilo Tanker hakuchomeka kwa kuwa si masikini(kiakili na pia kifedha) na Hilo ni tatizo tulilokuwa nalo miaka kumi iliyopita.Sasa kwani rc umeambiwa anaishi maeneo yale...??
We hata shule ulienda kweli!
Ninacho maanisha ni kuwa masikini ndio walikufa, maana ya RC sio hiyo ulioshika Bali ni watu wa class kama yake hawakuchomeka, hata dereva wa hilo Tanker hakuchomeka kwa kuwa si masikini(kiakili na pia kifedha) na Hilo ni tatizo tulilokuwa nalo miaka kumi iliyopita.
Kubali upungufu wenu wa elimu na Umasikini kuadhiri maisha yenu ya kila siku. Experience is the best teacher.