1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
[emoji86]Mkuu hapo kisichowezekana ni kipi au kipi ni kigumu kwako? Hujawahi kuona laptop yenye ram ya 20GB ama nini? Au mtu hawezi kupewa zawadi laptop ya gharama hiyo?
Kigumu kwako hapo ni kipi nikusaidie?
Sent using Jamii Forums mobile app