Alimaanisha namie nakulaga nyama mbichiBadili mara 1, huyo Evelyn alikuwa anakula nyama za watu mbichi , sasa sijui shemeji yetu alikuwa na maana gani
Hahaa πAlimaanisha namie nakulaga nyama mbichi
Hii kalikajamaa kadogo
Kaka angu
Kijana masikini
Mashamba Makubwa Nalima
Mtoto halali na hela
Mr Why
Jobless_Billionaire
Zakayomfupi
EDITION 1:
Baadhi ya majina humu JF are very interesting π
Nikifa MkeWangu Asiolewe ukikaidi utapigwa2 Utajua wewe Utajua ujui Salary Slip Imeloawww.jamiiforums.com
MUCH LOVE JFππͺπΏ
Umeeleweka bwana adriz lakini kwa heshima na taadhima tunakuomba utuitie mwasibu.Tafuta idea mpya mzee , nyuzi kama hizi zina zimeshakuwa kama uchafu sasa maana zinajirudia rudia mara nyingi...
Tafuta idea mpya mzee , nyuzi kama hizi zina zimeshakuwa kama uchafu sasa maana zinajirudia rudia mara nyingi...Tafuta idea mpya mzee , nyuzi kama hizi zina zimeshakuwa kama uchafu sasa maana zinajirudia rudia mara nyingi...