muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,627
- 4,445
Hijui unachoongea hata kidogo! Unajua mwaka gani Kenya iliizidi Tanzania Kwa GDP? Na sitoi jibu hapa! Kasome!Hiyo yote ni kazi ya Magufuli na fiscal discipline tulioifwata kwa miaka 5 na ndio maana leo hii Kenya wanakuja kuomba msaada Tanzania lkn after 5 years from now itakuwa kinyume chake.
Tanzania haijawahi kuizidi Kenya kwa kiuchumi tangia Uhuru na wala Kenya haijawaji kuitaji msaada wa Kiuchumi kutoka Tanzania popote pale kabla ya Magufuli kuwa raisi wa nchi.
Gone too soon!
Mxm!