Baadhi ya Makampuni Kenya yageukia nchi Jirani kuagiza Dola kutokana na uhaba wa fedha hizo

Hijui unachoongea hata kidogo! Unajua mwaka gani Kenya iliizidi Tanzania Kwa GDP? Na sitoi jibu hapa! Kasome!

Mxm!
 
Ma mods ya Siku hizi ni zero brain, contents inasema kampuni za Kenya zimegeukia Tanzania wao wanabadili heading eti Nchi jirani,mnakera sana kubadili hovyo heading,hii forum imekuwa ya kishamba sana na boring,
 
Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe maana wakati Tz tupo hoi walitusaidia?
 

Katika vitu ambavyo ni sawa na kujilisha upepo na kushangilia maneno matupu ni GDP ya Kenya. Hakuna siku imekuwa ikiakisi uhalisia wa maisha ya wananchi wao.
 
Tanzania nayo haina reserve zakutosha ukienda bank unataka dollar 10000 hawakupi
 
Kenya ina reserve ya kutosha miezi 4 habari zingine ni za kupotosha

The usable foreign exchange reserves remained adequate at USD 6,566 million (3.67 months of import cover) as at March 9. This meets the CBK’s statutory requirement to endeavour to maintain at least 4 months of import cover.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…