BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Watoto wa zamani ulikuwa ukifanya makosa yafuatayo ulikuwa unalamba bakora za kutosha
1. Usiposalimia wakubwa asubuhi, unapigwa.
2. Usiposalimia wageni, unapigwa.
3. Ukinawa kabla ya wageni, unapigwa.
4. Ukilia bila sababu, unapigwa.
5. Ukinyanyuka wakati wa kula kabla ya wakubwa kuinuka, unapigwa.
6. Wakubwa wakiwa wamekaa wewe ukaenda kusimana pembeni, unapigwa.
7. Ukikaa wakubwa wamesimama, unapigwa.
8. Ukitumwa dukani ukachelewa kurudi, unapigwa.
9. Ukichelewa kurudi toka shuleni, unapigwa.
10. Ukiwahi kurudi shuleni, unapigwa.
11. Ukililia wageni wakati wanaondoka wakitoka, unapigwa.
12. Kujipitisha pitisha wageni wakiwa wanakula, unapigwa.
13. Kujibu ovyo wakubwa, unapigwa.
14. Kutukana watu wazima, watoto au rika lako, unapigwa.
15. Ukiwa mbishi bila sababu, unapigwa.
16. Ukipigwa ukalia unapigwa ili unyamaze.
17. Ukipigwa umenyamaza unapigwa ili ulie.
18. Ukipigwa shuleni ukaenda kusema nyumbani, unapigwa.
19. Ukianza kula nyama kabla ya wakubwa, unapigwa.
20. Ukila kwa jirani ukabainika, unapigwa.
21: Ukianza kunawisha wenyeji badala ya wageni mkimaliza kula unaitwa chumbani, unapigwa.
22. Ukianza kunawisha watoto badala ya wakubwa, unapigwa.
23. Ukimkuta mtu nzima hujampokea, unapigwa.
24. Ukienda kusema kama umepigwa, unapigwa.
25. Mtu mzima akipita kama mnacheza hamjamshughulikia, unapigwa.
26. Ukienda nyumba za watu, ukaona kitu au ukasikia story ukaileta nyumbani, unapigwa.
27. Ukipewa hela na mtu asiefahamika au hata anaejulikana inategemea mazingira gani, unapigwa.
28. Ukianza kuchaguwa chakula hiki nakula hiki sili, unapigwa.
29. Ukianza kuwa na marafiki wasioleweka makwao, unapigwa.
30. Mtu mkubwa akija kukuchongea nyumbani hata kama sio cha ukweli, unapigwa.
31. Ukikaa na wakubwa halafu ukaanza kucheka bila sababu, unapigwa.
32. Ukimwuliza Baba/ Mama umetoka wapi unapigwa.
33. Ukilala bila kula, unapigwa.
34. Ukiitwa ukaja kimyakimya bila ya kuanza kuitika unapigwa.
35. Endapo umepigwa na ukasusa chakula, unapigwa.
Sasa hiki kizazi cha sasa cha kunyoa viduku, wanawake kuvaa suruali, wanaume kusuka na kuvaa heleni, kizazi cha kusagana na ushoga, kuvalia suruali chini ya matako, nk hawayajui haya. Eti sasa hivi ukimgombeza tu mtoto anatoroka nyumbani, ukimpiga anakwenda ustawi wa jamii
1. Usiposalimia wakubwa asubuhi, unapigwa.
2. Usiposalimia wageni, unapigwa.
3. Ukinawa kabla ya wageni, unapigwa.
4. Ukilia bila sababu, unapigwa.
5. Ukinyanyuka wakati wa kula kabla ya wakubwa kuinuka, unapigwa.
6. Wakubwa wakiwa wamekaa wewe ukaenda kusimana pembeni, unapigwa.
7. Ukikaa wakubwa wamesimama, unapigwa.
8. Ukitumwa dukani ukachelewa kurudi, unapigwa.
9. Ukichelewa kurudi toka shuleni, unapigwa.
10. Ukiwahi kurudi shuleni, unapigwa.
11. Ukililia wageni wakati wanaondoka wakitoka, unapigwa.
12. Kujipitisha pitisha wageni wakiwa wanakula, unapigwa.
13. Kujibu ovyo wakubwa, unapigwa.
14. Kutukana watu wazima, watoto au rika lako, unapigwa.
15. Ukiwa mbishi bila sababu, unapigwa.
16. Ukipigwa ukalia unapigwa ili unyamaze.
17. Ukipigwa umenyamaza unapigwa ili ulie.
18. Ukipigwa shuleni ukaenda kusema nyumbani, unapigwa.
19. Ukianza kula nyama kabla ya wakubwa, unapigwa.
20. Ukila kwa jirani ukabainika, unapigwa.
21: Ukianza kunawisha wenyeji badala ya wageni mkimaliza kula unaitwa chumbani, unapigwa.
22. Ukianza kunawisha watoto badala ya wakubwa, unapigwa.
23. Ukimkuta mtu nzima hujampokea, unapigwa.
24. Ukienda kusema kama umepigwa, unapigwa.
25. Mtu mzima akipita kama mnacheza hamjamshughulikia, unapigwa.
26. Ukienda nyumba za watu, ukaona kitu au ukasikia story ukaileta nyumbani, unapigwa.
27. Ukipewa hela na mtu asiefahamika au hata anaejulikana inategemea mazingira gani, unapigwa.
28. Ukianza kuchaguwa chakula hiki nakula hiki sili, unapigwa.
29. Ukianza kuwa na marafiki wasioleweka makwao, unapigwa.
30. Mtu mkubwa akija kukuchongea nyumbani hata kama sio cha ukweli, unapigwa.
31. Ukikaa na wakubwa halafu ukaanza kucheka bila sababu, unapigwa.
32. Ukimwuliza Baba/ Mama umetoka wapi unapigwa.
33. Ukilala bila kula, unapigwa.
34. Ukiitwa ukaja kimyakimya bila ya kuanza kuitika unapigwa.
35. Endapo umepigwa na ukasusa chakula, unapigwa.
Sasa hiki kizazi cha sasa cha kunyoa viduku, wanawake kuvaa suruali, wanaume kusuka na kuvaa heleni, kizazi cha kusagana na ushoga, kuvalia suruali chini ya matako, nk hawayajui haya. Eti sasa hivi ukimgombeza tu mtoto anatoroka nyumbani, ukimpiga anakwenda ustawi wa jamii