Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 384
- 970
Hizi ndio kali zaidi
16. Ukipigwa ukalia unapigwa ili unyamaze.
17. Ukipigwa umenyamaza unapigwa ili ulie.
16. Ukipigwa ukalia unapigwa ili unyamaze.
17. Ukipigwa umenyamaza unapigwa ili ulie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂Ukipigwa ukalia inapigwa tena ili unyamaze
Ukipigwa usipolia unapigwa uache kiburi af ukishalia unapigwa tena ili unyamaze
No. 14 siyo tu kupigwa unawekwa kikao cha ukoo kabisa 😂1. Usiposalimia wakubwa asubuhi, unapigwa.
2. Usiposalimia wageni, unapigwa.
3. Ukinawa kabla ya wageni, unapigwa.
4. Ukilia bila sababu, unapigwa.
5. Ukinyanyuka wakati wa kula kabla ya wakubwa kuinuka, unapigwa.
6. Wakubwa wakiwa wamekaa wewe ukaenda kusimana pembeni, unapigwa.
7. Ukikaa wakubwa wamesimama, unapigwa.
8. Ukitumwa dukani ukachelewa kurudi, unapigwa.
9. Ukichelewa kurudi toka shuleni, unapigwa.
10. Ukiwahi kurudi shuleni, unapigwa.
11. Ukililia wageni wakati wanaondoka wakitoka, unapigwa.
12. Kujipitisha pitisha wageni wakiwa wanakula, unapigwa.
13. Kujibu ovyo wakubwa, unapigwa.
14. Kutukana watu wazima, watoto au rika lako, unapigwa.
15. Ukiwa mbishi bila sababu, unapigwa.
16. Ukipigwa ukalia unapigwa ili unyamaze.
17. Ukipigwa umenyamaza unapigwa ili ulie.
18. Ukipigwa shuleni ukaenda kusema nyumbani, unapigwa.
19. Ukianza kula nyama kabla ya wakubwa, unapigwa.
20. Ukila kwa jirani ukabainika, unapigwa.
21: Ukianza kunawisha wenyeji badala ya wageni mkimaliza kula unaitwa chumbani, unapigwa.
22. Ukianza kunawisha watoto badala ya wakubwa, unapigwa.
23. Ukimkuta mtu nzima hujampokea, unapigwa.
24. Ukienda kusema kama umepigwa, unapigwa.
25. Mtu mzima akipita kama mnacheza hamjamshughulikia, unapigwa.
26. Ukienda nyumba za watu, ukaona kitu au ukasikia story ukaileta nyumbani, unapigwa.
27. Ukipewa hela na mtu asiefahamika au hata anaejulikana inategemea mazingira gani, unapigwa.
28. Ukianza kuchaguwa chakula hiki nakula hiki sili, unapigwa.
29. Ukianza kuwa na marafiki wasioleweka makwao, unapigwa.
30. Mtu mkubwa akija kukuchongea nyumbani hata kama sio cha ukweli, unapigwa.
31. Ukikaa na wakubwa halafu ukaanza kucheka bila sababu, unapigwa.
32. Ukimwuliza Baba/ Mama umetoka wapi unapigwa.
33. Ukilala bila kula, unapigwa.
34. Ukiitwa ukaja kimyakimya bila ya kuanza kuitika unapigwa.
35. Endapo umepigwa na ukasusa chakula, unapigwa.
Wahenga njooni tukumbushane matukio mengine