Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora amekumbuka hata kuwekeza.
Pastor Kavuka Na Chake Chapwaumini wametokwa povu....
Hii ndio inaitwa....vuka na chako......😛
Wapigwe Tu TumechokaWajinga waliwao
Acha wajing wazid kumtajirisha tu
Ova
Kazi Ya Punda Nini, MkuuNilitaka nishangae hoteli ya mwampopo ikose punda wa bethlehem
Wajinga ndo waliwao
Mwenye akili awezi lalama ikiwa mjinga ndo aliwae
😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂Hivi unajua kama wanasadaka za kujimaliza?
Mkuu kwani umenunua mafuta kwake mara ngapi?EvilSpirit
Mkuu ni huyu huyu wa kawe pale au unazungumzika mtu anatumia jina la ubin mwamposa??
Hebu leta document na picha za ushahidi tuthibitishe kama sio chai yenye tangawizi nyingi hii
Hivi unajua kama wanasadaka za kujimaliza?
Sadaka zimehawilishwa na kupangiwa matumizi mengine
Ukija kufika maeneo haya nishtue hapo kapakana na hifadhi ya wanyamaSadaka zimehawilishwa na kupangiwa matumizi mengine
Kufanya biashara ni dhambi?Utasikia..... ni Mtumishi wa Bwana...
Tumuite tu ... Mfanya biashara
Ms***e nini wewe nazusha nini wakati nilikuwepo kwenye uzinduzi huu mwamposa mwenyewe alikuwepo halafu msiwe mnabisha kwenye vitu ambavyo hamvijui bwege wewe