Baadhi ya maneno ya mpoki KTMA yaliyozua gumzo mitaani

Akampiga dongo Vincent Kigosi a.k.a Ray kuwa "Halafu wewe Ray kila siku unazidi kuwa mweupe"
Alimaanisha kuwa anazidi kujichubua!!
 

Aaaa aaaah aaah Jamaa yupo vizur sana
 
Hivi mwanagenzi are you real ama unacheza makidamakida? Uhusiano wa JK na jezi na issue iliyoko hapa ni upi ?

Hii niliipenda sana,ajirekebishe mtoto wa kiume yule...ah
 
si jadi yetu kuambiwa ukweli, kwa kuwa alikua anasema kwenye mizania ya utani ni vyema ku-maintain la siovyo siku nyingine unajikuta unaharibu sherehe ya watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…