MR TOXIC
Senior Member
- Jun 4, 2019
- 190
- 525
Ujue unazungumza na watu wazima humu kwahiyo usifikiri kwamba sisi ni watoto unaoweza kuwadanganya kirahisi na kadri utakavyowakingia kifua ndio utawaharibia zaidi kwa sababu hao madogo wamehitimu bachelor degree mwaka jana na taarifa zao zipoKumbuka kuhusu five six kwa mwaka mmoja