Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,831
- 5,489
- Thread starter
- #21
Mimi najadili Christmas hapa, au Christmas nayo ni yenuBasi jadili dini inayo kuhusu acha kuwashwa washwa na dini zisizo kuhusu.
Ww mjadili papa kuhalalisha ushoga , jadili manabii wenu huko,jadilini wingi wa sadaka kwenye makanisa yenu, masuala ya kuanzisha mada za kudisi dini za watu wengine acha.
Kila siku uislam kuujadili waislam utadhani walisha kuharibia kitu chako acha udini.
Kwa nini mtukane mtu kisa kuwatakia wakristo sikukuu njema