Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
BUNGE limeazimia serikali kuondoa ruzuku kwa mashirika yanayojiendesha kibiashara ili yaweze kujiendesha kibiashara, kukidhi bajeti zao na kutoa gawio kwa serikali.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza ameyasema hayo leo bungeni alipokuwa akiwasilisha taarifa ya mwaka ya shughuli za kamati hiyo.
“Baadhi ya Mashirika Umma yanayojiendesha kibiashara na yalitakiwa kujitegemea bado yanapata ruzuku kutoka Serikali Kuu,”amesema.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza ameyasema hayo leo bungeni alipokuwa akiwasilisha taarifa ya mwaka ya shughuli za kamati hiyo.
“Baadhi ya Mashirika Umma yanayojiendesha kibiashara na yalitakiwa kujitegemea bado yanapata ruzuku kutoka Serikali Kuu,”amesema.