Baadhi ya matatizo yanasumbua sana kwenye magari, Lakini ni madogo.

Baadhi ya matatizo yanasumbua sana kwenye magari, Lakini ni madogo.

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
3,381
Reaction score
9,744
Nimelazimika kuleta hii thread baada yakukutana na matatizo mawili yanayofanana ndani ya siku 5 katika magari mawili tofauti.
Tar 21 mwezi huu kuna jamaa alinicheck, nimeshamfanyia kazi kabla, ana toyota IST ina 1490Cc.

Alinicheck akaniambia gari yake akisimama kwenye foleni inamisi halafu kuna muda inazima kabisa, Ila akitembea hamna shida yoyote. Pia akadai kuna inawasha Check engine.

Tar 22/5 akaja ofisini, Nikaweka mashine ya Diagnosis, Straight ikasoma code ya P0172-System is Too Rich. Kwa lugha rahisi mchanganyiko wa hewa na mafuta una hewa kidogo kuliko kawaida au una mafuta mengi kuliko kawaida.

Basi kuna Procedures nikazifanya pale ikaonekana kuna Pipe inaleak hewa.

Unaweza kuangalia video hii, Ina dakika 2 tu ila nimeelezea kila kitu nilichokifanya, japo sauti iko chini, 👇


Sasa tena kanicheck jamaa mwingine na ishu hiyohiyo. . .

IMG_20230526_174436.jpg


Hapa akagusia kwamba gari imetolewa masega, lakini nikamjibi kwa gari hiyo masega hayawezi kuathiri performance.
IMG_20230526_174545.jpg


Baadae akanitumia hiyo code ambayo ni the same kama niliyopata kwa yule jamaa mwingine.
IMG_20230526_174636.jpg


Mwisho nikamtumia hiyo video, ajaribu kukagua hizo pipe za hewa kwenye engine.
IMG_20230526_174738.jpg


MWISHO,

Kama gari yako ina misi ikiwa sailensa(Idle), ila ukiendesha hamna misi, 99% hiyo leak ya hewa.

Hiyo P0172 ukiiserch mtandaoni utaletewa msururu wa sababu. Ila mara nyingi leak ya hewa ndio huwa sababu. Japo inaweza ikatokea nadra sana sababu zikawa zingine.

Huyo jamaa wa tar 22 nimempugia leo anasema gari iko fresh kabisa, japo tulutest siku ile na hakukua na shida yoyote.

Nyongeza

Mtatizo ya leak ni common sana kwenye gari nyingi, Na huwa ni nadra kuwasha check engine, Na ukiona limewasha check engine jua hali ishakuwa mbaya hasa kwa hii Mijapani.

Pia leakage za hewa zinaongeza sana ulaji wa mafuta kwenye gari.

************************************

Gari yako ina tatizo gani?

Karibu Ofisi ipo Sinza, Kijiweni, Dar.

Engines services, Engine diagnostics, GPS trackers n.k.

0621 221 606 au 0688 758 625.

Karibu sana.
 
Nimelazimika kuleta hii thread baada yakukutana na matatizo mawili yanayofanana ndani ya siku 5 katika magari mawili tofauti.
Tar 21 mwezi huu kuna jamaa alinicheck, nimeshamfanyia kazi kabla, ana toyota IST ina 1490Cc.

Alinicheck akaniambia gari yake akisimama kwenye foleni inamisi halafu kuna muda inazima kabisa, Ila akitembea hamna shida yoyote. Pia akadai kuna inawasha Check engine.

Tar 22/5 akaja ofisini, Nikaweka mashine ya Diagnosis, Straight ikasoma code ya P0172-System is Too Rich. Kwa lugha rahisi mchanganyiko wa hewa na mafuta una hewa kidogo kuliko kawaida au una mafuta mengi kuliko kawaida.

Basi kuna Procedures nikazifanya pale ikaonekana kuna Pipe inaleak hewa.

Unaweza kuangalia video hii, Ina dakika 2 tu ila nimeelezea kila kitu nilichokifanya, japo sauti iko chini, [emoji116]


Sasa tena kanicheck jamaa mwingine na ishu hiyohiyo. . .

View attachment 2635641

Hapa akagusia kwamba gari imetolewa masega, lakini nikamjibi kwa gari hiyo masega hayawezi kuathiri performance.
View attachment 2635642

Baadae akanitumia hiyo code ambayo ni the same kama niliyopata kwa yule jamaa mwingine.
View attachment 2635643

Mwisho nikamtumia hiyo video, ajaribu kukagua hizo pipe za hewa kwenye engine.
View attachment 2635645

MWISHO,

Kama gari yako ina misi ikiwa sailensa(Idle), ila ukiendesha hamna misi, 99% hiyo leak ya hewa.

Hiyo P0172 ukiiserch mtandaoni utaletewa msururu wa sababu. Ila mara nyingi leak ya hewa ndio huwa sababu. Japo inaweza ikatokea nadra sana sababu zikawa zingine.

Huyo jamaa wa tar 22 nimempugia leo anasema gari iko fresh kabisa, japo tulutest siku ile na hakukua na shida yoyote.

Nyongeza

Mtatizo ya leak ni common sana kwenye gari nyingi, Na huwa ni nadra kuwasha check engine, Na ukiona limewasha check engine jua hali ishakuwa mbaya hasa kwa hii Mijapani.

Pia leakage za hewa zinaongeza sana ulaji wa mafuta kwenye gari.

************************************

Gari yako ina tatizo gani?

Karibu Ofisi ipo Sinza, Kijiweni, Dar.

Engines services, Engine diagnostics, GPS trackers n.k.

0621 221 606 au 0688 758 625.

Karibu sana.
Tunashukuru kwa tangazo. Haya walipe jamiiforums kwa tangazo lako.
 
Kuna jamaa yangu ana ist nilimuomba nienda sehumu fulani hivi Jumapili iliyopita kukiwasha nikaona steering ina vaibreti nikaenda nako kiugumu baada ya kilomita kadhaa kakawasha taa ya check injini kurudi pia ikawa hivyohivyo,nikamtonya akasema na mimi huwa inakuwa hivyohivyo kifupi nilimshauri amuone fundi mapema sanaa.
 
Kuongezea pia, mimi ilikuwa inanitokea hivyo hivyo na check engine haiwashi ila nikiwa iddle ina miss balaa lakini nikitembea inakuwa normal sana. Nilipima hadi kupima lakini haikuonyesha shida yoyote tena sehemu zaidi ya moja. Jamaa mmoja ndo alikuja kukagua akakuta waya wa nozeli moja umekatika nusu
 
Hallo. Ya kwangu(Toyota Allex 2004 Model) ina fault code P0171 system is too lean, yaani ni vice verca ya P0172 System is too Rich.

Tumehemea/hangaikia/check fuel system yote, nozzles safishwa zote, MAF SENSOR imesafishwa, tumebadili Spark plugs, buyu la Mafuta limesadishwa vzuri. Lakini bado Check engine inawaka Occasionally.

Help.
 
Back
Top Bottom