Baadhi ya maumbile madogo ni wanaume ndio huyasababisha, kama upo makundi haya dawa ipo lakini uvumilivu wako ndio tiba.

Baadhi ya maumbile madogo ni wanaume ndio huyasababisha, kama upo makundi haya dawa ipo lakini uvumilivu wako ndio tiba.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kuna wale wanaume ambao wana maumbile madogo na kuhisi ndivyo walivyo lakini kiuhalisia hawakuumbwa hivyo.

1. Walioanza kupiga punyeto kabla au balehe inapoanza - kundi hili waliingilia process za uume kupata size kamili kipindi cha balehe.

2. Waliovaa chupi zilizokuwa zinabana - nao hawa utofauti sana na kundi la kwanza.

Ni kwamba makundi hayo uume wao umeingia ndani zaidi, mbaya zaidi kipindi cha balehe uume inabidi uachiwe wenyewe bila kuminywa ili upate saizi kamili, ukianza kuminywa minywa hauwezi kupata saizi kamili maana misuli inalegezwa.

Dawa ni uvumilivu wako, mwaka mzima ukae bila kupiga Punyeto uwe una sex tu na usiku usivae boxer wala chupi, vaa yale mabukta over size uume usikutane na kizuizi chochote
 
Kuna wale wanaume ambao wana maumbile madogo na kuhisi ndivyo walivyo lakini kiuhalisia hawakuumbwa hivyo.

1. Walioanza kupiga punyeto kabla au balehe inapoanza - kundi hili waliingilia process za uume kupata size kamili kipindi cha balehe.

2. Waliovaa chupi zilizokuwa zinabana - nao hawa utofauti sana na kundi la kwanza.

Ni kwamba makundi hayo uume wao umeingia ndani zaidi, mbaya zaidi kipindi cha balehe uume inabidi uachiwe wenyewe bila kuminywa ili upate saizi kamili, ukianza kuminywa minywa hauwezi kupata saizi kamili maana misuli inalegezwa.

Dawa ni uvumilivu wako, mwaka mzima ukae bila kupiga Punyeto uwe una sex tu na usiku usivae boxer wala chupi, vaa yale mabukta over size uume usikutane na kizuizi chochote
Na wanawake wenye vina virefu pamoja na upana mkubwa wafanyaje mkuu, maana naona hapo umebase upande mmoja?
 
Kuna wale wanaume ambao wana maumbile madogo na kuhisi ndivyo walivyo lakini kiuhalisia hawakuumbwa hivyo.

1. Walioanza kupiga punyeto kabla au balehe inapoanza - kundi hili waliingilia process za uume kupata size kamili kipindi cha balehe.

2. Waliovaa chupi zilizokuwa zinabana - nao hawa utofauti sana na kundi la kwanza.

Ni kwamba makundi hayo uume wao umeingia ndani zaidi, mbaya zaidi kipindi cha balehe uume inabidi uachiwe wenyewe bila kuminywa ili upate saizi kamili, ukianza kuminywa minywa hauwezi kupata saizi kamili maana misuli inalegezwa.

Dawa ni uvumilivu wako, mwaka mzima ukae bila kupiga Punyeto uwe una sex tu na usiku usivae boxer wala chupi, vaa yale mabukta over size uume usikutane na kizuizi chochote
Vipi mkuu kama umri umeshavuka growth period kibayologia bado uume unaweza kukua?
 
Tafuteni pesa, ukiwa nazo hata Kama Una kubamia watakufichia Siri na kukuvumilia
 
Ukubwa wa uume ni maumbile ya kuzaliwa!
Yanajionesha tangu mtu akishazaliwa, unaona kabisa size Ni kubwa au ndogo

Hali kadhalika kwa mwanamke,
Akiwa mtoto unaona kwa huyu imetuna na yule imepwaya
 
Kuna wale wanaume ambao wana maumbile madogo na kuhisi ndivyo walivyo lakini kiuhalisia hawakuumbwa hivyo.

1. Walioanza kupiga punyeto kabla au balehe inapoanza - kundi hili waliingilia process za uume kupata size kamili kipindi cha balehe.

2. Waliovaa chupi zilizokuwa zinabana - nao hawa utofauti sana na kundi la kwanza.

Ni kwamba makundi hayo uume wao umeingia ndani zaidi, mbaya zaidi kipindi cha balehe uume inabidi uachiwe wenyewe bila kuminywa ili upate saizi kamili, ukianza kuminywa minywa hauwezi kupata saizi kamili maana misuli inalegezwa.

Dawa ni uvumilivu wako, mwaka mzima ukae bila kupiga Punyeto uwe una sex tu na usiku usivae boxer wala chupi, vaa yale mabukta over size uume usikutane na kizuizi chochote

Naomba kuulize nje Mada lakin..Punyeto husababisha ugumba kwa mwanaume?? Kutotungisha mimba ??
 
Kuna Nakala Watu Wanashukuru Nyeto Imesaidia Kuongeza Sasa Hao Unawaweka Wapi Kwenye Hii Tafiti Yako.
 
Kuna wale wanaume ambao wana maumbile madogo na kuhisi ndivyo walivyo lakini kiuhalisia hawakuumbwa hivyo.

1. Walioanza kupiga punyeto kabla au balehe inapoanza - kundi hili waliingilia process za uume kupata size kamili kipindi cha balehe.

2. Waliovaa chupi zilizokuwa zinabana - nao hawa utofauti sana na kundi la kwanza.

Ni kwamba makundi hayo uume wao umeingia ndani zaidi, mbaya zaidi kipindi cha balehe uume inabidi uachiwe wenyewe bila kuminywa ili upate saizi kamili, ukianza kuminywa minywa hauwezi kupata saizi kamili maana misuli inalegezwa.

Dawa ni uvumilivu wako, mwaka mzima ukae bila kupiga Punyeto uwe una sex tu na usiku usivae boxer wala chupi, vaa yale mabukta over size uume usikutane na kizuizi chochote
Mganga wa kienyeji at his best.
Je wanawake wenye k zenye kipenyo kikubwa, maji mengi na harufu ya papa walikosea wapi?
 
Back
Top Bottom