Baadhi ya mazingira ambayo yakimtokea mwanamke hatojali kitu chochote kwenye maamuzi yake

Baadhi ya mazingira ambayo yakimtokea mwanamke hatojali kitu chochote kwenye maamuzi yake

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
1. Akiwa mpweke
Akiwa na kiu ya kuliwazwa kwenye upweke wake haangalii huyu ni mume wa mtu, mchumba wa mtu, mzazi wa mtu. Yeye anachotaka upweke wake uishe

2. Akiwa desparate (mwenye kiu ya kuolewa)
Mwanamke akiwa kwenye hali hii, basi mwanaume yoyote kwake ni potential husband, awe mume wa mtu au la, akifikia hapa hajali mambo ya kupima afya, mambo ya dini au imani, vigezo na masharti vyote vinafukiwa ardhini.

3. Akiwa na kiu ya mtoto
Hapa hajaliwi mtu inajaliwa mbegu tu. Kila akiona mwanaume anamwona kama baba mtoto wake, hapa haliangaliwi penzi tena bali mbegu za mtoto. Hapa hata kama ana imani ya kuhamisha milima atakuwa tayari kwenda kwa mganga pale anapoona maombi hayafanyikazi.

Ujumbe: Hali yako na mapito yako yasikufanye ushushe standards zako. Ndio maana taji hata sikumoja haitolewi mwanzoni bali mwishoni. Yeye avumiliaye atavikwa taji.

angry%2Bwoman.jpg



Mambo makubwa 3 yanayompelekea mwanamke kutojali chochote kwenye maamuzi timheaven
 
1. Akiwa mpweke
Akiwa na kiu ya kuliwazwa kwenye upweke wake haangalii huyu ni mume wa mtu, mchumba wa mtu, mzazi wa mtu. Yeye anachotaka upweke wake uishe

2. Akiwa desparate (mwenye kiu ya kuolewa)
Mwanamke akiwa kwenye hali hii, basi mwanaume yoyote kwake ni potential husband, awe mume wa mtu au la, akifikia hapa hajali mambo ya kupima afya, mambo ya dini au imani, vigezo na masharti vyote vinafukiwa ardhini.

3. Akiwa na kiu ya mtoto
Hapa hajaliwi mtu inajaliwa mbegu tu. Kila akiona mwanaume anamwona kama baba mtoto wake, hapa haliangaliwi penzi tena bali mbegu za mtoto. Hapa hata kama ana imani ya kuhamisha milima atakuwa tayari kwenda kwa mganga pale anapoona maombi hayafanyikazi.

Ujumbe: Hali yako na mapito yako yasikufanye ushushe standards zako. Ndio maana taji hata sikumoja haitolewi mwanzoni bali mwishoni. Yeye avumiliaye atavikwa taji.

angry%2Bwoman.jpg



Mambo makubwa 3 yanayompelekea mwanamke kutojali chochote kwenye maamuzi timheaven
Hapo kwenye ujumbe tu nimekupa like
 
nimewala sana kina mama kadhaaa kwa hilo la upweke...unakua nae rafiki tuu kwa kumpa ushauri na kampani..baadae unamla tuu
 
Kuna mmoja alizaa na mme wake watoto 2.mwisho wa siku wakaachana jamaa akabaki na watoto wote!mwanamke yule nikaanza kutembea nae kila nikimuuliza kuhusu kinga anayotumia anachekacheka tuuu.nikawa namzibua siku ya siku ananiambia ana kibendi nikashtuka nikaona msalaba huu.alichoniambia ni very simpo.oohhh nilikuwa nahitaji kuwa na mtoto wangu sasahivi hivyo wewe uamue kupita hivi au vipi?mi sikumjibu cha ajabu ye akanikatia mawasiliano kabisa hadi sasa hivi nadhani ina miez8 maana kuna rafki yake huwa ananitumia picha tu za huyo mwanamama
 
#2 n hatar zaid
kuna jamaa alitokea demu baada ya siku kadhaa akapewa jibu ss ndan ya wk 2 tu toka waanze mahusiano demu akamwambia ametafuta chumba cha kupanga mtaa fulan waende wakaish huko mda huu msichana anakuwa peak
 
ni kweli lakini % kubwa huchangia na kusikiliza maneno ya watu but ukiwa unique huwezi jiangaisha ivo
 
Kuna mmoja alizaa na mme wake watoto 2.mwisho wa siku wakaachana jamaa akabaki na watoto wote!mwanamke yule nikaanza kutembea nae kila nikimuuliza kuhusu kinga anayotumia anachekacheka tuuu.nikawa namzibua siku ya siku ananiambia ana kibendi nikashtuka nikaona msalaba huu.alichoniambia ni very simpo.oohhh nilikuwa nahitaji kuwa na mtoto wangu sasahivi hivyo wewe uamue kupita hivi au vipi?mi sikumjibu cha ajabu ye akanikatia mawasiliano kabisa hadi sasa hivi nadhani ina miez8 maana kuna rafki yake huwa ananitumia picha tu za huyo mwanamama
Na wewe unaona unatenda fair? Unajua kuna maisha baada ya ujana na watoto wanaweza kuwa msaada mbeleni?
 
sijui kwann ila nimejikuta baada ya kusoma comment zote humu nimedinda.. 🙁
 
miss zomboko naomba niongezee no 4;

WHEN A WOMAN IS FED UP(in her marriage/Rlshp)

.....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................
watajazia wengine!
 
Na wewe unaona unatenda fair? Unajua kuna maisha baada ya ujana na watoto wanaweza kuwa msaada mbeleni?
Yeye kaniblock kila sehem na mi binafsi sikuwahi kumwambia kuhusu kukataa mimba!
 
1. Akiwa mpweke
Akiwa na kiu ya kuliwazwa kwenye upweke wake haangalii huyu ni mume wa mtu, mchumba wa mtu, mzazi wa mtu. Yeye anachotaka upweke wake uishe

2. Akiwa desparate (mwenye kiu ya kuolewa)
Mwanamke akiwa kwenye hali hii, basi mwanaume yoyote kwake ni potential husband, awe mume wa mtu au la, akifikia hapa hajali mambo ya kupima afya, mambo ya dini au imani, vigezo na masharti vyote vinafukiwa ardhini.

3. Akiwa na kiu ya mtoto
Hapa hajaliwi mtu inajaliwa mbegu tu. Kila akiona mwanaume anamwona kama baba mtoto wake, hapa haliangaliwi penzi tena bali mbegu za mtoto. Hapa hata kama ana imani ya kuhamisha milima atakuwa tayari kwenda kwa mganga pale anapoona maombi hayafanyikazi.

Ujumbe: Hali yako na mapito yako yasikufanye ushushe standards zako. Ndio maana taji hata sikumoja haitolewi mwanzoni bali mwishoni. Yeye avumiliaye atavikwa taji.

angry%2Bwoman.jpg



Mambo makubwa 3 yanayompelekea mwanamke kutojali chochote kwenye maamuzi timheaven
Kazi ipo
 
Back
Top Bottom