Huo ndio uzembe tunaongelea hapa. If you knew your capacity is overstretched then what is your government doing about it? Sisi tayari tushajenga port mpya kule Lamu just in case Mombasa izidiwe.Sio uzembe bali bandari imezidiwa pia bado hakuna eneo la kutosha la kuweka mizigo yaani dry port
Next budget wametenga pesa za kujenga hiyo terminalHuo ndio uzembe tunaongelea hapa. If you knew your capacity is overstretched then what is your government doing about it? Sisi tayari tushajenga port mpya kule Lamu just in case Mombasa izidiwe.
Kuhusu kukokosa eneo la kuweka mizigo hapo pia tulishajipanga kitambo coz we already have Naivasha dry port. So kubali kwamba hii yote ni uzembe on your part. Endeleeni kulala usingizi wa pono mkiamka mnasema tunawahujumu jinsi nilivyoona comment moja hapo juu
Huo ndio uzembe tunaongelea hapa. If you knew your capacity is overstretched then what is your government doing about it? Sisi tayari tushajenga port mpya kule Lamu just in case Mombasa izidiwe.
Kuhusu kukokosa eneo la kuweka mizigo hapo pia tulishajipanga kitambo coz we already have Naivasha dry port. So kubali kwamba hii yote ni uzembe on your part. Endeleeni kulala usingizi wa pono mkiamka mnasema tunawahujumu jinsi nilivyoona comment moja hapo ju
Mzee mbona unatushambulia Dar port expansion ina package nyingi zinafanyika na zote zinafadhiliwa na world bank,sasa hv wako kwenye kuatanua mlango wa bahari na kuchimba sehemu ya kugeuzia meli.Kama unavyojua baada ya kumalizika gati la 0 la kushushia magari sasa hv Dar Port inapokea meli direct from Japan to TZ na magari mengi ni transit to Malawi,Zambia,Msumbiji,Rwanda,Burundi,DRC Even Zimbambwe sasa hv wanachukulia magari Dar.Project nyingine ni kuboresha reli zinazoingia Bandarini Meter gauge,Cape Gauge ile ya Tazara na SGR ambaye ujenzi wake kuelekea bandarini unaendelea soo soon zilikamilizika mambo yatakuwa Bambam.Huo ndio uzembe tunaongelea hapa. If you knew your capacity is overstretched then what is your government doing about it? Sisi tayari tushajenga port mpya kule Lamu just in case Mombasa izidiwe.
Kuhusu kukokosa eneo la kuweka mizigo hapo pia tulishajipanga kitambo coz we already have Naivasha dry port. So kubali kwamba hii yote ni uzembe on your part. Endeleeni kulala usingizi wa pono mkiamka mnasema tunawahujumu jinsi nilivyoona comment moja hapo juu
Nyie mnafocuss na mambo za hovyo eti mnajenga gati ya kupokea magari wakati hamna gati za kutosha za kupokea containers hadi meli zinakuja kumwaga containers Mombasa badala ya kupanga foleni Dar. Badala ya kujenga gati maalum ya kupokea magari mngejenga gati ya kawaida tu ambayo ina uwezo wa kupokea both cargo and vehicles. Unajua berth ya kawaida pia ina uwezo wa kupokea magari. Sasa swali langu ni je wakati meli la magari halijawasili, hilo gati la magari linatumika kupokea containers au linakaa bure likingojea meli la magari kuwasili? Kama linakaa bure tu basi hapo hamkutumia akili.M
Mzee mbona unatushambulia Dar port expansion ina package nyingi zinafanyika na zote zinafadhiliwa na world bank,sasa hv wako kwenye kuatanua mlango wa bahari na kuchimba sehemu ya kugeuzia meli.Kama unavyojua baada ya kumalizika gati la 0 la kushushia magari sasa hv Dar Port inapokea meli direct from Japan to TZ na magari mengi ni transit to Malawi,Zambia,Msumbiji,Rwanda,Burundi,DRC Even Zimbambwe sasa hv wanachukulia magari Dar.Project nyingine ni kuboresha reli zinazoingia Bandarini Meter gauge,Cape Gauge ile ya Tazara na SGR ambaye ujenzi wake kuelekea bandarini unaendelea soo soon zilikamilizika mambo yatakuwa Bambam.
Hii ni sabotage ya baadhi ya maafisa wa bandari,serikalini na na wamiliki wa meli ndogo za kontena,kuna mtaliano ana meli yake ya kontena na mzee m1 mstaafu wa serikali upande wa znz meli zao zinapata kazi kihivyo kwa kwenda msa port kuchukua mizigo kama hiyo,now karibia miaka hata 10 msc awaleti meli dar zinaishia msa au maputo hlf meli za hao jamaa ndio zinapata kazi kufuata mizigo
Kama utakumbuka mwakyembe akiwa waziri wa uchukuzi ndio alikua wa kwanza kupokea meli yenye mtr 250 kuingia dar port,na akaongelea namna watu wanavyodai meli kuanzia ukubwa huo aziingi dar port na akaongea hadi na pilot alieingiza ile meli,kukatulia,baadae tena likaanza zengwe lile lile,serikali iviondoe hivyo vimeli vya mstaafu,dar port meli yenye ukubwa hadi mtr 300 inaweza kuingia,na inaweza kuhusu loading na dischaging cargo kwa contena inawezekakana ndani ya masaa 10 na kwa dry cargo masaa siku 2 hadi 3,lakini utakuta meli inakaa hadi wiki na kule nje anchorage meli zinasubiri hadi wiki 2!Unazungumziaje ile moja ya meli kubwa zadi duniani iliyotia nanga bandari ya salama?