Sitakiimani, nataka ujuzi.Nabaki na imani yangu na wewe endelea na yako.Sikuwa na nia ya kukupinga kuhusu upagani wako.Nilitaka tu kujua mambo mbali mbali ambayo bado ni kiza kwa binadamu wengi mathalani hatima yetu baada ya kifo na uumbaji wa ulimwengu.Nakushukuru kwa majibu yako mazuri na marefu ingawa kimsingi hakuna jipya la maana nililojifunza.
Tatizo Mtumishi Kiranga ni kuwa huna ujuzi...Sitakiimani, nataka ujuzi.
Wewe hata upagani huelewi maana yake nini, unatumia neno visivyo.
Huna ujuzi.Tatizo lako umeng'ang'ania ubishi bila sababu za msingi.Una ubishi fulani usio na tija na wala haumjengi mtu kimawazo.Sitakiimani, nataka ujuzi.
Wewe hata upagani huelewi maana yake nini, unatumia neno visivyo.
Mungu gani? Wa contradictions?Tatizo Mtumishi Kiranga ni kuwa huna ujuzi...
Uneng'ng'ana na kumkamtaa Mungu bila sababu ya msingi..T
Huna ujuzi.Tatizo lako umeng'ang'ania ubishi bila sababu za msingi.Una ubishi fulani usio na tija na wala haumjengi mtu kimawazo.
Unachosha ndugu yangu.Mungu gani? Wa contradictions?
Hapana, ningechosha usingenijibu.Unachosha ndugu yangu.
Baba Mchungaji Kiranga ungekuwa na Kanisa nadhani waumini wote wangekuKimbia ukabaki wewe na mkeo tu.Hapana, ningechosha usingenijibu.
kimalkia cha google hichooMambo gani tena hayaaaa
hamnaa nipooUmepoteaaa
au mbgekuwa simu basi mngekuwa TECNO au itelUtani wa ngumi akiiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio mimi jamani wasije wakanitafuta is just a carHahahahajha
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87]au mbgekuwa simu basi mngekuwa TECNO au itel
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshana -passo
Demiss- Hilux old model
Mzigua - Forte
madam S - IST
Kritika- Vitz
Jolie na Hazard - IST
Yna 4 - Toyota Crown
MBITIYAZA - carina
Mumu - Noah
Miss natafuta- mark II