Baadhi ya Mipango ya Rais Mteule Donald Trump kwa Siku 30 za Kwanza Baada ya Kuapishwa

Ashughulike na utoaji mimba na mambo ya ushoga
 
Kl
Ilikuwa ni ngumu sana Kamala kutoboa kama mtu mwenyewe mipango yake ndio hii
Ila hiyo ya mwisho ya "require government approval to posses a gun" alikua sahihi.
Hizo zingine zote ndo hapana.
 

View: https://youtu.be/9lE3QqD6JHE?si=u3vLBuKH8U1wPhlJ
 
Kl

Ila hiyo ya mwisho ya "require government approval to posses a gun" alikua sahihi.
Hizo zingine zote ndo hapana.
Hiyo ingetengeneza mlolongo mrefu wa kumiliki silaha, kitu ambacho wamarekani wamekitafsiri kama Njia ya kupunguza idadi ya watu wanaomiliki silaha, wakati huo nchi yao Ina criminals Kibao wengi wakiwa ni immigrants.... Pita X kule uone jinsi wanavyoziongelea hizo sera zake hakuna hata Moja wanayokubaliana nayo.
 
Zote nzuri MUNGU MWENYEZI amsaidie sana

Lakin hapo kwa wahamiaji haramu ajaribu kuwa mpole mpole maana wahamiaji wengi hapo ni waarabu ambao ni ndugu zetu katika iman
Wahamiaji wengi ni LATIN AMERICANS.
Usipotoshe taarifa kijana.
 
Asahau kivipi waende Saudi Arabia
Wewe nani kakudanganya wahamiaji wengi ni waarabu!?
Kwa akili zako kama firigisi wahamiaji wengi USA ni Latinos kutoka Mexico,Venezuela,Guatemala na viunga vingine vya Amerika kusini.
 
Wewe nani kakudanganya wahamiaji wengi ni waarabu!?
Kwa akili zako kama firigisi wahamiaji wengi USA ni Latinos kutoka Mexico,Venezuela,Guatemala na viunga vingine vya Amerika kusini.
Okay πŸ‘
 
Hiyo namba 5, nashauri Wapalesyti na Waarabu wote hata kama ni raia wa marekani wapelekwe Palestina.

Naendekea kusisitiza, na Waislam wote wahamiaji wapelekwe Palestina kwa nguvu, wakipenda wasipende.
 
Kumaliza vita ya Ukraine/Urusi si aliahidi ni simu moja tu?
 
Walivyokuwa wanalia mfumuko wa bei chini ya Biden, chini ya Trump itakuwa hata zaidi. Hao wahamiaji haramu ndiyo wachuma matunda, wasafisha majumba na waosha vyombo. Kuwaweka wamarekani ni gharama kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…