Baadhi ya nchi za Afrika na tabia za watu wao

Baadhi ya nchi za Afrika na tabia za watu wao

Tanzania: Most of people's kutoka Tanzania wengi ni waoga Sana
Kwa sisi mabaharia,,, mtanzania ndio mtu mwenye ujasiri wa kupiga meli na kuishtakia bahari (kuzamia meli) bila kujua hiyo meli inakwenda wapi na muda wa siku ngapi, na huko anakokwenda akatoboa kimaisha vile vile,, so huu uoga unaozungumzia hapa sijui uoga wa dizaini gani,, au labda unajua watanzania wote wanatokea kwenu mwakaleli.
 
Waafrika wote wanaakili za kufanana.
Hayo uliyoandika ni sifa ya mmoja mmoja ambazo naweza kuzipata kwenye nchi yoyote afrika.
 
Burkinafaso: Waongo saana
😀
Siku ikuingia anga zetu utanyea debe

1721954700261.png
 
1)Nigeria watu wa Nigeria ni wapambanaji saana

2)Warundi na RCA ( republic centre african) hawa watu hawajiamini kabisa

Cameroon most of people's kutoka Cameroon ni watu wenye kiburi saana watu wenye kujiona kuwa ni bora kuliko wengine

Ivory coast: Wacheshi saana

Kenya and Egypt: Ni watu ambao wanajikubali saana

DRC ni watu ambao wanapenda sifa sana

Burkinafaso: Waongo saana

Uganda ni watu na bahati zao hawa

Tanzania: Most of people's kutoka Tanzania wengi ni waoga Sana

Rwanda: Most of people's kutoka Rwanda ni watu wenye akili

Tutaendelea kesho acha ni pumzishe fuvu langu
Wote hao ushakutana nao? Umetisha
 
1)Nigeria watu wa Nigeria ni wapambanaji saana

2)Warundi na RCA ( republic centre african) hawa watu hawajiamini kabisa

Cameroon most of people's kutoka Cameroon ni watu wenye kiburi saana watu wenye kujiona kuwa ni bora kuliko wengine

Ivory coast: Wacheshi saana

Kenya and Egypt: Ni watu ambao wanajikubali saana

DRC ni watu ambao wanapenda sifa sana

Burkinafaso: Waongo saana

Uganda ni watu na bahati zao hawa

Tanzania: Most of people's kutoka Tanzania wengi ni waoga Sana

Rwanda: Most of people's kutoka Rwanda ni watu wenye akili

Tutaendelea kesho acha ni pumzishe fuvu langu
watanzania ni watu ambao hatujikubali na mfano mzuri ni hii thread yako.
 
Back
Top Bottom