Baadhi ya ofa atakazopata Neymar huko Uarabuni

Baadhi ya ofa atakazopata Neymar huko Uarabuni

Waendeleee tu na mipango yao ya kuipindua Ulaya. Ulaya na sasa hawa Waarabu wote lao moja; kutupeleka kuleeee...kwenye NWO kuliko na dini moja feki, na hata japo hizi zilizopo zitaendelea kuwepo ila zitakuwa feki sana (Ukristo oya oya, Uislamu tia maji tia maji,n.k).

Hawa Athletes wanaenda Saudia ,palipo na kitovu cha Uislamu, wakiwa na lifestyles zao ambazo hawataziacha (japo baadhi ya hao wenye majina makubwa watasilimu na kujiunga na dini ya haki, ila upagani wao mwingi hawataziacha na wataupandikiza ndani ya maisha ya Waislamu). Saudia inaenda kuwa na Uislamu wa hovyo sana.
Ukisikiliza Interviews za MBS jamaa ana maono ya kubadilisha Middle East iwe kisasa zaidi.
 
hawa jamaa wana hela aisee... maana hakuna return.. its like wanapesa nyng hazina kazi so wana sajili for fun, financial fair play haiwez ku apply huko
 
Jamaa wana pesa ndefu aisee, ila bado mpira upo ulaya.

Wachina nao hapo kati walinunua nunua wachezaji wakubwa ila bado hawakuipiku ulaya.

Acha tuone hawa wazee wa fuba kama ligi yao itakua bora.
 
Back
Top Bottom