Baadhi ya Polisi Tanzania ni wauaji na watesaji; OCS na wenzake sita kortini wakituhumiwa mauaji ya raia

Baadhi ya Polisi Tanzania ni wauaji na watesaji; OCS na wenzake sita kortini wakituhumiwa mauaji ya raia

Acha kutudanganya, acha kumpa Samia sifa za uongo we chawa wewe.

IGP Wambura na DCI Kingai wameteuliwa na Samia akijua wazi - na kama hajui alipigiwa kelele akaambiwa- hawa wawili ndio walikuwa nguzo za jeshi dhalimu la polisi kwenye serikai za Kikwete na Magufuli. Wana damu mikononi mwao.

Akawateua anyhow. Kwa sababu alijua hawa wanajua jinsi ya kumuwezesha kushikilia dola lisilo na ridhaa ya raia.

Samia hatumbui Kamanda eti kakosa weledi, kaua raia. Yameanza leo haya ?Acha kutufanya sisi wajinga, nenda kadanganye watu Katavi vijijini huko wanaotoka Kivu kwenye makambi ya wakimbizi walikofurika kumuona Samia last week, labda utapata half dead illiterates huko.

Mkuu
nimekuelewa sana, na uliyoyasema yanaendelea kutokea
 
Back
Top Bottom