Kwa nini π π
HahahaaaaBaadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa wamelalamika kuhusu Single Mother kuwa Mwiba kwenye familia zao na kuhatarisha malezi ya watoto.
Wameongeza kuwa watu hawa wamekusa huruma hadi kufikia hatua ya kuwachukua wanaume wa familia moja kwa moja kwa kuwahonga vitu mbalimbali.
Wanawake hao wameenda mbali zaidi kwa kuwaomba waache mara moja tabia hiyo kwa wanaume walioko kwenye ndoa na kuwataka wanaume hao kujishughulisha na kuhudumia familia.
Zwazwa...zwezwe...zwizwi...zwozwo...zwuzwuMbona wengine hatuwapati hao masingle mother wanaohonga ..
Basi kumbe wenzetu wanafaidi hivi..
Baadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa wamelalamika kuhusu Single Mother kuwa Mwiba kwenye familia zao na kuhatarisha malezi ya watoto.
Wameongeza kuwa watu hawa wamekusa huruma hadi kufikia hatua ya kuwachukua wanaume wa familia moja kwa moja kwa kuwahonga vitu mbalimbali.
Wanawake hao wameenda mbali zaidi kwa kuwaomba waache mara moja tabia hiyo kwa wanaume walioko kwenye ndoa na kuwataka wanaume hao kujishughulisha na kuhudumia familia.
Kuna wangu hapa naona nae ananijaribu. Hawa viumbe ni wajinga sanashida ni hao hao waliopo kwenye ndoa waache kuwasingizia Singo mom's,
Simu yako imefanyaje mboni unapigiwa haupokei?Wanawake hao wameenda mbali zaidi kwa kuwaomba waache mara moja tabia hiyo kwa wanaume walioko kwenye ndoa na kuwataka wanaume hao kujishughulisha na kuhudumia familia.
Sasa kama wake wa ndoa wana maringo, kejeli, vijembe na dharau kwa nini nisiende tulizana na single mother nipate amani ya moyoBaadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa wamelalamika kuhusu Single Mother kuwa Mwiba kwenye familia zao na kuhatarisha malezi ya watoto.
Wameongeza kuwa watu hawa wamekusa huruma hadi kufikia hatua ya kuwachukua wanaume wa familia moja kwa moja kwa kuwahonga vitu mbalimbali.
Sio Wote hufanya hivyo bwege weMara nyingi wanawake waliopo kwenye ndoa ndio tatizo kwenye ndoa zao. Wamekuwa na dharau, wavivu, wachokozi na wengine wanatoka nje ya ndoa kwa tamaa zao au kumkomoa mwanaume