Baadhi ya single mothers wenye pesa chanzo cha kuvunja ndoa za watu

Baadhi ya single mothers wenye pesa chanzo cha kuvunja ndoa za watu

Baadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa wamelalamika kuhusu Single Mother kuwa Mwiba kwenye familia zao na kuhatarisha malezi ya watoto.

Wameongeza kuwa watu hawa wamekusa huruma hadi kufikia hatua ya kuwachukua wanaume wa familia moja kwa moja kwa kuwahonga vitu mbalimbali.

Wanawake hao wameenda mbali zaidi kwa kuwaomba waache mara moja tabia hiyo kwa wanaume walioko kwenye ndoa na kuwataka wanaume hao kujishughulisha na kuhudumia familia.
Hata wanaume wanawatafuta sana wake za watu, wanadai mke wa mtu hakupi pressure.
 
Single mother mwenyewe sasa

20240611_133857.jpg
 
Wazivunje tu, ni Jambo Jema sana!! Kama mwanamke haoni thamani ya Mume na ndoa yake, na kuna single Mama anateseka, kuna shida gani?
Kama huko nyumbani nikekele tu! bora kuhamia kwenye mtandao wenye 5g ambako muda wote mnara unasoma
 
Sasa kama wake wa ndoa wana maringo, kejeli, vijembe na dharau kwa nini nisiende tulizana na single mother nipate amani ya moyo
Uchokozi mnauanza nyinyi wakati mwingine.
 
Mbona wengine hatuwapati hao masingle mother wanaohonga ..

Basi kumbe wenzetu wanafaidi hivi..
Tafuta single mother mbunge au mfanyakazi wa TANAPA, BOT,TRA
Ufaidi uroda na pesa. Ila uwe yes man maana Wana vijisheria kandamizi Sana, chapili uwe bingwa wa kukanyagia ikibidi tumia vumbi pendwa.
 
Back
Top Bottom