Hata wanaume wanawatafuta sana wake za watu, wanadai mke wa mtu hakupi pressure.Baadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa wamelalamika kuhusu Single Mother kuwa Mwiba kwenye familia zao na kuhatarisha malezi ya watoto.
Wameongeza kuwa watu hawa wamekusa huruma hadi kufikia hatua ya kuwachukua wanaume wa familia moja kwa moja kwa kuwahonga vitu mbalimbali.
Wanawake hao wameenda mbali zaidi kwa kuwaomba waache mara moja tabia hiyo kwa wanaume walioko kwenye ndoa na kuwataka wanaume hao kujishughulisha na kuhudumia familia.
Kama huko nyumbani nikekele tu! bora kuhamia kwenye mtandao wenye 5g ambako muda wote mnara unasomaWazivunje tu, ni Jambo Jema sana!! Kama mwanamke haoni thamani ya Mume na ndoa yake, na kuna single Mama anateseka, kuna shida gani?
Duuu halafu usihamie huko?
Au wewe unaonaje mkuu...??π π π
Kweli rasta!!!Wazivunje tu, ni Jambo Jema sana!! Kama mwanamke haoni thamani ya Mume na ndoa yake, na kuna single Mama anateseka, kuna shida gani?
Tafuta single mother mbunge au mfanyakazi wa TANAPA, BOT,TRAMbona wengine hatuwapati hao masingle mother wanaohonga ..
Basi kumbe wenzetu wanafaidi hivi..