Ili traits( vinasaba) vya kibinadamu viendelee kuwepo na kuruhusu mwanadamu kuendelea kuwepo ni lazima tukubali evolution ya genome( DNA) zetu..
mabadiliko ya viumbe yanazingatia sana maeneo ulipo na vitu mwili unavyopokea..
Inawezekana kabsaa kuwa hapo mwanzoni human genome ilikuwa moja na binadamu alikuwa na sifa moja( the same human race) lakini alivyozaliana na kuongezeka na kupelekea exhaustion ya raw materiols ilimfanya aanze kuadopt mazingira kwa kuanza kumigrate into different areas kukidhi yaliyo mazuri kwake.
Hivyo kadri alivyokuwa anamove kutoka maeneo mabali mbali ndipo effects due to cosmic radiations ilimuaffect na kujikuta akichange kadri anavyokaribiana na cosmic wave radiations..
Huenda kabsaa mwanzoni wote tulikuwa wazungu au wote tulikuwa weupe au wote tulikuwa na rangi flani lakini kadri tulivyokuwa tunamigrate ndivyo tulikuwa tunaathiliwa na radiations ..
hivyo miili ulianza kubadilika kulingana na hali ya kuhimili mabadiliko na madhara ya mionzi ya cosmic ..
Inasemekana kabsa kuwa huku Africa jua lipo central zaidi na inawezekana kabsa mwanzoni jua lilikuwa karibu sana huku maneo ya Africs hence effects za cosmic radiation convetion ilikuwa kubwa sana Africa kwa hiyo human being wote waluomigrate kuja Africa miili yao iliyobeba Geneitic trait ilianza kuchange into colors ili kuhimili mabadiliko ya mionzi.
View attachment 842704
pengine nchi za ulaya huko na mashariki ya mbali inasemekana jua linapita pembeni zaidi na effects ya cosmic rays irradiation wanaface kidgo snaa kulingana na huku kwetu ndo mana pengine ngozi zao zinabaki kuwa vile vile from original since manipulated kuja kuishi hapa duniani....
View attachment 842706
huenda kabsa human being waliobakia huko hawakupata mutation snaa hence their genetic traits( vinasaba) zikabaki hivo hivo with minimal chances to change ..na kumbuka hata Intelligence Quotient( IQ) hubadilika kadri DNA yako inavobadilika..
kwa hiyo huenda kabsa kuwa watu waliomigrate kuja huku ambapo jua linakuwa na effects kubwa za cosmic radiation wakati wa solar meridian clancher effects ndipo madhara yanakuwa makubwa sana kwenye DNA yetu
View attachment 842712
na kadri muda ulivozidi kwenda ndipo madhara yalionekana kabsaa kwenye kizazi hiki...
View attachment 842714
picha hapo juu ni matokeo ya IQ baada ya muda wa miaka kadhaaà...
Conclusion..
Swala la kudig kuwa tulitoka wapi ,na kwanini tuna human races kadhaa na nini utofauti wa hizo races nadhan binafsi naweza anza kuamini cosmological facts zinazoanza kugive out kwanini different races arose na kufanya kila race kuwa na specific IQ ..hii ni ukweli ulio dhahiri..
Labda kama wengine wana mchango tofauti na mimi..
Binafsi naamini wote tulikuwa sana since then tulipoletwa hapa duniani..ililetwa race moja lakini other races occured after baada ya hiyo race kuanza kumigrate maeneo ambayo ilipata effects za hizo radiations..
Sent using
Jamii Forums mobile app