Baadhi ya swali ya kujiuliza ilikugundua ukweli wa asili yako

Baadhi ya swali ya kujiuliza ilikugundua ukweli wa asili yako

Sipendi Kucoment sana now a days ila Nashawishika Hapa..
Mwafrika alipumbazwa na Mzungu, Kwa Kiasi Kikubwa Mzungu alimfanya Mwafrika Kufeli, labda baada ya wao kuendelea Mapema zaidi.. kwa ufupi soma hapa chini.. ilikuwa kabla hata ya Mkutano wa Berlin
Africa was way ahead of the rest of the worl before we came into contact with the evil white man

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africa was way ahead of the rest of the worl before we came into contact with the evil white man

Sent using Jamii Forums mobile app
how comes to be ahead halafu mtu mwingine aje akupumbaze then ashift mind yako kwatika negative axis deviation ..??

is that true..

?? kama unaamini hivo basi wale ndo walikuwa juu yako zaidi..

Hivi mtu kama umemzidi maarifa atakupumbazaje sasa..??

think more on that broo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini wafiche?
Nani anaficha?
Nasisi tuna akili gani mpaka tufichiwe mambo yetu wenyewe?
Mkuu,
Tukiwekeza zaidi wa Afrika kwenye mambo ya msingi na yenye kujenga tuna uwezo wa kufanya makubwa. Mchawi wetu afrika ni sisi wenyewe tusiwasingizie wazungu.
Ethiopia na liberia (?) Hazikutawaliwa ningetegemea ziwe nchi za kwanza hapa afrika kimaendeleo kwa kila nyanja.
Unachotaka kusema ni sawa na warabu wanashinda wanauana wao kwa wao hafu wanasema kua wanachonganishwa na wazungu! Hivi ushajua kama mzungu ndio anawachonganisha why muendelee kupigana?

Haya wa Afrika tushajua tumefichwa vitu vingi kwanini sasa hatufanyi juhudi kuvifichua nasi tuendelee?
Tulio na Akili hatuna maamuzi, wenye maamuzi hawana Akili. Kilichobaki jijue ujilinde.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua nini..
Hicho ulichosema sasa ndio ni moja kati ya sababu zilizonifanya niishie kidato cha 4 tu. Wengi hawakunielewa na waliniona mjinga but mm naona niko sahihi.

Tunafundishwa shule labda 20% ya mambo yaliyo duniani yaliyobaki yote tunafichwa coz unasoma kile kitu ambacho watu wengine wanataka ujue. Mm niliamua kutoka kwenye huo mtego na nashukuru kama maarifa ninayo ya kutosha tu
Upo kama Mimi mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mashuleni tunafundishwa theluthi tu ya kile tunachotakiwa kukijua mengine kapuni. Naamini sisi Waafrika tunaweza kufika mbali na tukafanya mambo mengi makubwa hata mzungu akashangaa lakini wachawi ni sisi wenyewe. Kwanini Ethiopia na Liberia hazikutawaliwa ukijiuliza tu mara mbilimbili kuna jibu hapo. Afrika ikiungana trust me tunatoboa tena mbali sana ila sasa nani aanze. Nchi za ulimwengu wa kwanza kama naziona hivi.

Sent from my TECNO-W3 using Tapatalk
 
Utangulizi

Kabla ya kufanya uchambuzi huu wa wazi na kujikita ndani kabisa kuna mambo ya msingi ya kujiuliza kabla ya kuchimba Zaidi, kwanza fahamu kwamba kutafuta ukweli juu ya jamii yako au dini yako sio dhambi ni moja kati ya njia ya kujitambua na kumwamini Mungu wako wa Kweli. Kama unawasiwasi sana naomba ujikaze na uwe tayari kujibu maswali haya.
Watu Weusi wakifanya kazi kama watumwa Misri
1. Unajua nini juu ya jamii yako kama mwafrika?
2. Kabla ya biashara ya utumwa wazazi wako walikuwa wa asili hiyo uliyoko?
3. Je Katika jamii yako kuna watu ambao walikuwa wanafanya kazi za ubunifu kama kutengeneza zana za Kilimo, kufua chuma nk?
4. Je jamii uliyoko unajua nini juu ya mababu wako?
5. Je unafahamu kizazi cha nne nyuma ya hiki ulichopo?
6. Je Mababu zako walikuwa wanamwabudu Mungu yupi kabla ya wakoloni?
7. Je majina ya asili yako kwanini huyatumii kama unayatumia kwanini una jina la kizungu?


Kwa maswali hayo baadhi unaweza kugundua kuwa moja kati ya siri kubwa zinazofichwa ni juu ya historia ya mtu mweusi (Waafrika).

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante
Asili ya Mwafrika iko wazi kabisa... Labda tuzungumzie vizazi koo na kabila
Kwa Afrika mashariki hii muingiliano ni mkubwa sana na ndio maana leo ni rahisi sana wanasiasa kutumia mamlaka kuhoji asili ya mtu, hasa wale wa mipakani
Mimi binafsi natumia majina yote ya asili sina jina la kizungu hata moja
Asili ya ukoo wetu ni wahunzi wa chuma(wafua vyuma) aka The smithans... Ni ukoo mkongwe na maarufu kabla ya wakoloni kuja, kwakuwa shughuli nyingi za binadamu zilitegemea zana za chuma kuanzia kilimo, makazi, usafiri, ufugaji mpaka biashara
Hivyo Washana hawakuwa watu wa kufa njaa, asipokuja mkulima atakuja mvuvi... Asipokuja mvuvi atakuja mjenzi,... Nk.. Washana walichukuliwa kama wachawi ama washirikina wakuu kutokana na ufanisi na umahiri wao kwenye kazi ya uhunzi
Kwa sehemu kuna mambo ya siri na intelijensia kubwa yalifanyika ili kulinda hakimiliki, biashara na empire nzima ya Washana!


Jr[emoji769]
 
Unajua nini..
Hicho ulichosema sasa ndio ni moja kati ya sababu zilizonifanya niishie kidato cha 4 tu. Wengi hawakunielewa na waliniona mjinga but mm naona niko sahihi.

Tunafundishwa shule labda 20% ya mambo yaliyo duniani yaliyobaki yote tunafichwa coz unasoma kile kitu ambacho watu wengine wanataka ujue. Mm niliamua kutoka kwenye huo mtego na nashukuru kama maarifa ninayo ya kutosha tu
Tupo pamoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili traits( vinasaba) vya kibinadamu viendelee kuwepo na kuruhusu mwanadamu kuendelea kuwepo ni lazima tukubali evolution ya genome( DNA) zetu..

mabadiliko ya viumbe yanazingatia sana maeneo ulipo na vitu mwili unavyopokea..

Inawezekana kabsaa kuwa hapo mwanzoni human genome ilikuwa moja na binadamu alikuwa na sifa moja( the same human race) lakini alivyozaliana na kuongezeka na kupelekea exhaustion ya raw materiols ilimfanya aanze kuadopt mazingira kwa kuanza kumigrate into different areas kukidhi yaliyo mazuri kwake.

Hivyo kadri alivyokuwa anamove kutoka maeneo mabali mbali ndipo effects due to cosmic radiations ilimuaffect na kujikuta akichange kadri anavyokaribiana na cosmic wave radiations..

Huenda kabsaa mwanzoni wote tulikuwa wazungu au wote tulikuwa weupe au wote tulikuwa na rangi flani lakini kadri tulivyokuwa tunamigrate ndivyo tulikuwa tunaathiliwa na radiations ..

hivyo miili ulianza kubadilika kulingana na hali ya kuhimili mabadiliko na madhara ya mionzi ya cosmic ..

Inasemekana kabsa kuwa huku Africa jua lipo central zaidi na inawezekana kabsa mwanzoni jua lilikuwa karibu sana huku maneo ya Africs hence effects za cosmic radiation convetion ilikuwa kubwa sana Africa kwa hiyo human being wote waluomigrate kuja Africa miili yao iliyobeba Geneitic trait ilianza kuchange into colors ili kuhimili mabadiliko ya mionzi.
View attachment 842704

pengine nchi za ulaya huko na mashariki ya mbali inasemekana jua linapita pembeni zaidi na effects ya cosmic rays irradiation wanaface kidgo snaa kulingana na huku kwetu ndo mana pengine ngozi zao zinabaki kuwa vile vile from original since manipulated kuja kuishi hapa duniani....
View attachment 842706

huenda kabsa human being waliobakia huko hawakupata mutation snaa hence their genetic traits( vinasaba) zikabaki hivo hivo with minimal chances to change ..na kumbuka hata Intelligence Quotient( IQ) hubadilika kadri DNA yako inavobadilika..

kwa hiyo huenda kabsa kuwa watu waliomigrate kuja huku ambapo jua linakuwa na effects kubwa za cosmic radiation wakati wa solar meridian clancher effects ndipo madhara yanakuwa makubwa sana kwenye DNA yetu
View attachment 842712

na kadri muda ulivozidi kwenda ndipo madhara yalionekana kabsaa kwenye kizazi hiki...

View attachment 842714

picha hapo juu ni matokeo ya IQ baada ya muda wa miaka kadhaaà...

Conclusion..

Swala la kudig kuwa tulitoka wapi ,na kwanini tuna human races kadhaa na nini utofauti wa hizo races nadhan binafsi naweza anza kuamini cosmological facts zinazoanza kugive out kwanini different races arose na kufanya kila race kuwa na specific IQ ..hii ni ukweli ulio dhahiri..

Labda kama wengine wana mchango tofauti na mimi..

Binafsi naamini wote tulikuwa sana since then tulipoletwa hapa duniani..ililetwa race moja lakini other races occured after baada ya hiyo race kuanza kumigrate maeneo ambayo ilipata effects za hizo radiations..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa historia mtu mweusi si mtu wa makazi rasmi. Kwa hoja yako kuwa Waafrika tuko hivi kutokana na masuala ya jua na ikweta, sikubaliani nayo kwa mujibu wa historia. Historia inaonesha kwa hoja kwamba ilipo Israel leo na mashariki ya kati walikuwa wanakaa baadhi ya watu weusi (Black Jews) na kwa mujibu wa historia miaka ya 1400-1500 (nyuma) pwani ya EA Ilikuwa haina watu. Waliokuwepo ilitokana na safari ndefu za kukimbia utumwa na mapigano.

Fredius Snowden,

5th Avenue Madson, NY758, USA
 
Sipendi Kucoment sana now a days ila Nashawishika Hapa..
Mwafrika alipumbazwa na Mzungu, Kwa Kiasi Kikubwa Mzungu alimfanya Mwafrika Kufeli, labda baada ya wao kuendelea Mapema zaidi.. kwa ufupi soma hapa chini.. ilikuwa kabla hata ya Mkutano wa Berlin
These mathafuckers white they fool us
Wamebadilisha kila kitu kizuri cha African, Leo hii mtu anang'ang'ania dini bila kujiuliza kabla ya iyo dini kuja wazee walikua wanaamini nn?!
Wazee waliokufa kabla ya kuletewa dini inamana wataenda motoni kama tulivoaminishwa??
Au Mungu tulieaminishwa na hawa wazungu ni kweli yupo??
Kama yupo je, atawaadhibu ambao hawakua/hawana dini??
I'm just thinking out loud
 
😆😆😆 WABONGO BANA WANASHINDA KUWAZA MAMBO YA KIJIIIINGA Kwann msiwe wajinga wakati mnawaza ujinga? nini kimefichwa na kimefichwa wapi?? We unajua kuna Mungu Wangapi? Je! Hao mababu unaowazungumzia wanaweza kusaidia nini? jamani kuweni hata wahamasishaji umasikini ututoke humu Africa......wazungu wanaendelea kumuomba Mungu Awape Mawazo mapya Sisi tunazidi Kuomba tuoneshwe yaliofichwa.....we umejuaje kuwa umefichwa?
 
😆😆😆 WABONGO BANA WANASHINDA KUWAZA MAMBO YA KIJIIIINGA Kwann msiwe wajinga wakati mnawaza ujinga? nini kimefichwa na kimefichwa wapi?? We unajua kuna Mungu Wangapi? Je! Hao mababu unaowazungumzia wanaweza kusaidia nini? jamani kuweni hata wahamasishaji umasikini ututoke humu Africa......wazungu wanaendelea kumuomba Mungu Awape Mawazo mapya Sisi tunazidi Kuomba tuoneshwe yaliofichwa.....we umejuaje kuwa umefichwa?
The fact is, without whites we could use our own products, creativity and so on....
But once they came they vanished our culture and beliefs, we don't live longer
Wametuletea maradhi na kutupa elimu yao kwa maana elimu yetu ni ya kishenzi
 
Ili traits( vinasaba) vya kibinadamu viendelee kuwepo na kuruhusu mwanadamu kuendelea kuwepo ni lazima tukubali evolution ya genome( DNA) zetu..

mabadiliko ya viumbe yanazingatia sana maeneo ulipo na vitu mwili unavyopokea..

Inawezekana kabsaa kuwa hapo mwanzoni human genome ilikuwa moja na binadamu alikuwa na sifa moja( the same human race) lakini alivyozaliana na kuongezeka na kupelekea exhaustion ya raw materiols ilimfanya aanze kuadopt mazingira kwa kuanza kumigrate into different areas kukidhi yaliyo mazuri kwake.

Hivyo kadri alivyokuwa anamove kutoka maeneo mabali mbali ndipo effects due to cosmic radiations ilimuaffect na kujikuta akichange kadri anavyokaribiana na cosmic wave radiations..

Huenda kabsaa mwanzoni wote tulikuwa wazungu au wote tulikuwa weupe au wote tulikuwa na rangi flani lakini kadri tulivyokuwa tunamigrate ndivyo tulikuwa tunaathiliwa na radiations ..

hivyo miili ulianza kubadilika kulingana na hali ya kuhimili mabadiliko na madhara ya mionzi ya cosmic ..

Inasemekana kabsa kuwa huku Africa jua lipo central zaidi na inawezekana kabsa mwanzoni jua lilikuwa karibu sana huku maneo ya Africs hence effects za cosmic radiation convetion ilikuwa kubwa sana Africa kwa hiyo human being wote waluomigrate kuja Africa miili yao iliyobeba Geneitic trait ilianza kuchange into colors ili kuhimili mabadiliko ya mionzi.
View attachment 842704

pengine nchi za ulaya huko na mashariki ya mbali inasemekana jua linapita pembeni zaidi na effects ya cosmic rays irradiation wanaface kidgo snaa kulingana na huku kwetu ndo mana pengine ngozi zao zinabaki kuwa vile vile from original since manipulated kuja kuishi hapa duniani....
View attachment 842706

huenda kabsa human being waliobakia huko hawakupata mutation snaa hence their genetic traits( vinasaba) zikabaki hivo hivo with minimal chances to change ..na kumbuka hata Intelligence Quotient( IQ) hubadilika kadri DNA yako inavobadilika..

kwa hiyo huenda kabsa kuwa watu waliomigrate kuja huku ambapo jua linakuwa na effects kubwa za cosmic radiation wakati wa solar meridian clancher effects ndipo madhara yanakuwa makubwa sana kwenye DNA yetu
View attachment 842712

na kadri muda ulivozidi kwenda ndipo madhara yalionekana kabsaa kwenye kizazi hiki...

View attachment 842714

picha hapo juu ni matokeo ya IQ baada ya muda wa miaka kadhaaà...

Conclusion..

Swala la kudig kuwa tulitoka wapi ,na kwanini tuna human races kadhaa na nini utofauti wa hizo races nadhan binafsi naweza anza kuamini cosmological facts zinazoanza kugive out kwanini different races arose na kufanya kila race kuwa na specific IQ ..hii ni ukweli ulio dhahiri..

Labda kama wengine wana mchango tofauti na mimi..

Binafsi naamini wote tulikuwa sana since then tulipoletwa hapa duniani..ililetwa race moja lakini other races occured after baada ya hiyo race kuanza kumigrate maeneo ambayo ilipata effects za hizo radiations..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbna kama huo ni moto kabisa unaounguza? Hiyo radiation inakuaje apo.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipendi Kucoment sana now a days ila Nashawishika Hapa..
Mwafrika alipumbazwa na Mzungu, Kwa Kiasi Kikubwa Mzungu alimfanya Mwafrika Kufeli, labda baada ya wao kuendelea Mapema zaidi.. kwa ufupi soma hapa chini.. ilikuwa kabla hata ya Mkutano wa Berlin
Dah hapa kama itakuwa ni kweli basi wametudhibiti sana. kuharibu mfumo wa kufikiri kwetu! Labda kizazi cha baada ya sisi au watoto wetu kitaweza leta mapinduzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua nini..
Hicho ulichosema sasa ndio ni moja kati ya sababu zilizonifanya niishie kidato cha 4 tu. Wengi hawakunielewa na waliniona mjinga but mm naona niko sahihi.

Tunafundishwa shule labda 20% ya mambo yaliyo duniani yaliyobaki yote tunafichwa coz unasoma kile kitu ambacho watu wengine wanataka ujue. Mm niliamua kutoka kwenye huo mtego na nashukuru kama maarifa ninayo ya kutosha tu
Mkuu ungeweza kuendelea na shule tu wakati huo huo ukitafuta "hayo maarifa" mengine mengine ..me naona ungekuwa sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini wafiche?
Nani anaficha?
Nasisi tuna akili gani mpaka tufichiwe mambo yetu wenyewe?
Mkuu,
Tukiwekeza zaidi wa Afrika kwenye mambo ya msingi na yenye kujenga tuna uwezo wa kufanya makubwa. Mchawi wetu afrika ni sisi wenyewe tusiwasingizie wazungu.
Ethiopia na liberia (?) Hazikutawaliwa ningetegemea ziwe nchi za kwanza hapa afrika kimaendeleo kwa kila nyanja.
Unachotaka kusema ni sawa na warabu wanashinda wanauana wao kwa wao hafu wanasema kua wanachonganishwa na wazungu! Hivi ushajua kama mzungu ndio anawachonganisha why muendelee kupigana?

Haya wa Afrika tushajua tumefichwa vitu vingi kwanini sasa hatufanyi juhudi kuvifichua nasi tuendelee?
Hazikutawaliwa lakini zinatawaliwa kwa asahvi kwahyo hamna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom