Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Africa was way ahead of the rest of the worl before we came into contact with the evil white manSipendi Kucoment sana now a days ila Nashawishika Hapa..
Mwafrika alipumbazwa na Mzungu, Kwa Kiasi Kikubwa Mzungu alimfanya Mwafrika Kufeli, labda baada ya wao kuendelea Mapema zaidi.. kwa ufupi soma hapa chini.. ilikuwa kabla hata ya Mkutano wa Berlin
how comes to be ahead halafu mtu mwingine aje akupumbaze then ashift mind yako kwatika negative axis deviation ..??Africa was way ahead of the rest of the worl before we came into contact with the evil white man
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulio na Akili hatuna maamuzi, wenye maamuzi hawana Akili. Kilichobaki jijue ujilinde.Kwanini wafiche?
Nani anaficha?
Nasisi tuna akili gani mpaka tufichiwe mambo yetu wenyewe?
Mkuu,
Tukiwekeza zaidi wa Afrika kwenye mambo ya msingi na yenye kujenga tuna uwezo wa kufanya makubwa. Mchawi wetu afrika ni sisi wenyewe tusiwasingizie wazungu.
Ethiopia na liberia (?) Hazikutawaliwa ningetegemea ziwe nchi za kwanza hapa afrika kimaendeleo kwa kila nyanja.
Unachotaka kusema ni sawa na warabu wanashinda wanauana wao kwa wao hafu wanasema kua wanachonganishwa na wazungu! Hivi ushajua kama mzungu ndio anawachonganisha why muendelee kupigana?
Haya wa Afrika tushajua tumefichwa vitu vingi kwanini sasa hatufanyi juhudi kuvifichua nasi tuendelee?
Upo kama Mimi mkuu.Unajua nini..
Hicho ulichosema sasa ndio ni moja kati ya sababu zilizonifanya niishie kidato cha 4 tu. Wengi hawakunielewa na waliniona mjinga but mm naona niko sahihi.
Tunafundishwa shule labda 20% ya mambo yaliyo duniani yaliyobaki yote tunafichwa coz unasoma kile kitu ambacho watu wengine wanataka ujue. Mm niliamua kutoka kwenye huo mtego na nashukuru kama maarifa ninayo ya kutosha tu
Safi kupata mate.
Ipo hivo mkuu hii duniaTulio na Akili hatuna maamuzi, wenye maamuzi hawana Akili. Kilichobaki jijue ujilinde.
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteUtangulizi
Kabla ya kufanya uchambuzi huu wa wazi na kujikita ndani kabisa kuna mambo ya msingi ya kujiuliza kabla ya kuchimba Zaidi, kwanza fahamu kwamba kutafuta ukweli juu ya jamii yako au dini yako sio dhambi ni moja kati ya njia ya kujitambua na kumwamini Mungu wako wa Kweli. Kama unawasiwasi sana naomba ujikaze na uwe tayari kujibu maswali haya.
Watu Weusi wakifanya kazi kama watumwa Misri
1. Unajua nini juu ya jamii yako kama mwafrika?
2. Kabla ya biashara ya utumwa wazazi wako walikuwa wa asili hiyo uliyoko?
3. Je Katika jamii yako kuna watu ambao walikuwa wanafanya kazi za ubunifu kama kutengeneza zana za Kilimo, kufua chuma nk?
4. Je jamii uliyoko unajua nini juu ya mababu wako?
5. Je unafahamu kizazi cha nne nyuma ya hiki ulichopo?
6. Je Mababu zako walikuwa wanamwabudu Mungu yupi kabla ya wakoloni?
7. Je majina ya asili yako kwanini huyatumii kama unayatumia kwanini una jina la kizungu?
Kwa maswali hayo baadhi unaweza kugundua kuwa moja kati ya siri kubwa zinazofichwa ni juu ya historia ya mtu mweusi (Waafrika).
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuanzie wapi.Vilivyofichwa ni vingi tu lakini vikitafutwa vinapatikana sababu vipo tatizo lipo kwetu huwa hatupendi kujichosha kuhoji mambo mtu ambayo anaona hayamhusu
Tupo pamoja.Unajua nini..
Hicho ulichosema sasa ndio ni moja kati ya sababu zilizonifanya niishie kidato cha 4 tu. Wengi hawakunielewa na waliniona mjinga but mm naona niko sahihi.
Tunafundishwa shule labda 20% ya mambo yaliyo duniani yaliyobaki yote tunafichwa coz unasoma kile kitu ambacho watu wengine wanataka ujue. Mm niliamua kutoka kwenye huo mtego na nashukuru kama maarifa ninayo ya kutosha tu
Pamoja sana
Kwa mujibu wa historia mtu mweusi si mtu wa makazi rasmi. Kwa hoja yako kuwa Waafrika tuko hivi kutokana na masuala ya jua na ikweta, sikubaliani nayo kwa mujibu wa historia. Historia inaonesha kwa hoja kwamba ilipo Israel leo na mashariki ya kati walikuwa wanakaa baadhi ya watu weusi (Black Jews) na kwa mujibu wa historia miaka ya 1400-1500 (nyuma) pwani ya EA Ilikuwa haina watu. Waliokuwepo ilitokana na safari ndefu za kukimbia utumwa na mapigano.Ili traits( vinasaba) vya kibinadamu viendelee kuwepo na kuruhusu mwanadamu kuendelea kuwepo ni lazima tukubali evolution ya genome( DNA) zetu..
mabadiliko ya viumbe yanazingatia sana maeneo ulipo na vitu mwili unavyopokea..
Inawezekana kabsaa kuwa hapo mwanzoni human genome ilikuwa moja na binadamu alikuwa na sifa moja( the same human race) lakini alivyozaliana na kuongezeka na kupelekea exhaustion ya raw materiols ilimfanya aanze kuadopt mazingira kwa kuanza kumigrate into different areas kukidhi yaliyo mazuri kwake.
Hivyo kadri alivyokuwa anamove kutoka maeneo mabali mbali ndipo effects due to cosmic radiations ilimuaffect na kujikuta akichange kadri anavyokaribiana na cosmic wave radiations..
Huenda kabsaa mwanzoni wote tulikuwa wazungu au wote tulikuwa weupe au wote tulikuwa na rangi flani lakini kadri tulivyokuwa tunamigrate ndivyo tulikuwa tunaathiliwa na radiations ..
hivyo miili ulianza kubadilika kulingana na hali ya kuhimili mabadiliko na madhara ya mionzi ya cosmic ..
Inasemekana kabsa kuwa huku Africa jua lipo central zaidi na inawezekana kabsa mwanzoni jua lilikuwa karibu sana huku maneo ya Africs hence effects za cosmic radiation convetion ilikuwa kubwa sana Africa kwa hiyo human being wote waluomigrate kuja Africa miili yao iliyobeba Geneitic trait ilianza kuchange into colors ili kuhimili mabadiliko ya mionzi.
View attachment 842704
pengine nchi za ulaya huko na mashariki ya mbali inasemekana jua linapita pembeni zaidi na effects ya cosmic rays irradiation wanaface kidgo snaa kulingana na huku kwetu ndo mana pengine ngozi zao zinabaki kuwa vile vile from original since manipulated kuja kuishi hapa duniani....
View attachment 842706
huenda kabsa human being waliobakia huko hawakupata mutation snaa hence their genetic traits( vinasaba) zikabaki hivo hivo with minimal chances to change ..na kumbuka hata Intelligence Quotient( IQ) hubadilika kadri DNA yako inavobadilika..
kwa hiyo huenda kabsa kuwa watu waliomigrate kuja huku ambapo jua linakuwa na effects kubwa za cosmic radiation wakati wa solar meridian clancher effects ndipo madhara yanakuwa makubwa sana kwenye DNA yetu
View attachment 842712
na kadri muda ulivozidi kwenda ndipo madhara yalionekana kabsaa kwenye kizazi hiki...
View attachment 842714
picha hapo juu ni matokeo ya IQ baada ya muda wa miaka kadhaaΓ ...
Conclusion..
Swala la kudig kuwa tulitoka wapi ,na kwanini tuna human races kadhaa na nini utofauti wa hizo races nadhan binafsi naweza anza kuamini cosmological facts zinazoanza kugive out kwanini different races arose na kufanya kila race kuwa na specific IQ ..hii ni ukweli ulio dhahiri..
Labda kama wengine wana mchango tofauti na mimi..
Binafsi naamini wote tulikuwa sana since then tulipoletwa hapa duniani..ililetwa race moja lakini other races occured after baada ya hiyo race kuanza kumigrate maeneo ambayo ilipata effects za hizo radiations..
Sent using Jamii Forums mobile app
These mathafuckers white they fool usSipendi Kucoment sana now a days ila Nashawishika Hapa..
Mwafrika alipumbazwa na Mzungu, Kwa Kiasi Kikubwa Mzungu alimfanya Mwafrika Kufeli, labda baada ya wao kuendelea Mapema zaidi.. kwa ufupi soma hapa chini.. ilikuwa kabla hata ya Mkutano wa Berlin
The fact is, without whites we could use our own products, creativity and so on....πππ WABONGO BANA WANASHINDA KUWAZA MAMBO YA KIJIIIINGA Kwann msiwe wajinga wakati mnawaza ujinga? nini kimefichwa na kimefichwa wapi?? We unajua kuna Mungu Wangapi? Je! Hao mababu unaowazungumzia wanaweza kusaidia nini? jamani kuweni hata wahamasishaji umasikini ututoke humu Africa......wazungu wanaendelea kumuomba Mungu Awape Mawazo mapya Sisi tunazidi Kuomba tuoneshwe yaliofichwa.....we umejuaje kuwa umefichwa?
Mkuu mbna kama huo ni moto kabisa unaounguza? Hiyo radiation inakuaje apo.?Ili traits( vinasaba) vya kibinadamu viendelee kuwepo na kuruhusu mwanadamu kuendelea kuwepo ni lazima tukubali evolution ya genome( DNA) zetu..
mabadiliko ya viumbe yanazingatia sana maeneo ulipo na vitu mwili unavyopokea..
Inawezekana kabsaa kuwa hapo mwanzoni human genome ilikuwa moja na binadamu alikuwa na sifa moja( the same human race) lakini alivyozaliana na kuongezeka na kupelekea exhaustion ya raw materiols ilimfanya aanze kuadopt mazingira kwa kuanza kumigrate into different areas kukidhi yaliyo mazuri kwake.
Hivyo kadri alivyokuwa anamove kutoka maeneo mabali mbali ndipo effects due to cosmic radiations ilimuaffect na kujikuta akichange kadri anavyokaribiana na cosmic wave radiations..
Huenda kabsaa mwanzoni wote tulikuwa wazungu au wote tulikuwa weupe au wote tulikuwa na rangi flani lakini kadri tulivyokuwa tunamigrate ndivyo tulikuwa tunaathiliwa na radiations ..
hivyo miili ulianza kubadilika kulingana na hali ya kuhimili mabadiliko na madhara ya mionzi ya cosmic ..
Inasemekana kabsa kuwa huku Africa jua lipo central zaidi na inawezekana kabsa mwanzoni jua lilikuwa karibu sana huku maneo ya Africs hence effects za cosmic radiation convetion ilikuwa kubwa sana Africa kwa hiyo human being wote waluomigrate kuja Africa miili yao iliyobeba Geneitic trait ilianza kuchange into colors ili kuhimili mabadiliko ya mionzi.
View attachment 842704
pengine nchi za ulaya huko na mashariki ya mbali inasemekana jua linapita pembeni zaidi na effects ya cosmic rays irradiation wanaface kidgo snaa kulingana na huku kwetu ndo mana pengine ngozi zao zinabaki kuwa vile vile from original since manipulated kuja kuishi hapa duniani....
View attachment 842706
huenda kabsa human being waliobakia huko hawakupata mutation snaa hence their genetic traits( vinasaba) zikabaki hivo hivo with minimal chances to change ..na kumbuka hata Intelligence Quotient( IQ) hubadilika kadri DNA yako inavobadilika..
kwa hiyo huenda kabsa kuwa watu waliomigrate kuja huku ambapo jua linakuwa na effects kubwa za cosmic radiation wakati wa solar meridian clancher effects ndipo madhara yanakuwa makubwa sana kwenye DNA yetu
View attachment 842712
na kadri muda ulivozidi kwenda ndipo madhara yalionekana kabsaa kwenye kizazi hiki...
View attachment 842714
picha hapo juu ni matokeo ya IQ baada ya muda wa miaka kadhaaΓ ...
Conclusion..
Swala la kudig kuwa tulitoka wapi ,na kwanini tuna human races kadhaa na nini utofauti wa hizo races nadhan binafsi naweza anza kuamini cosmological facts zinazoanza kugive out kwanini different races arose na kufanya kila race kuwa na specific IQ ..hii ni ukweli ulio dhahiri..
Labda kama wengine wana mchango tofauti na mimi..
Binafsi naamini wote tulikuwa sana since then tulipoletwa hapa duniani..ililetwa race moja lakini other races occured after baada ya hiyo race kuanza kumigrate maeneo ambayo ilipata effects za hizo radiations..
Sent using Jamii Forums mobile app
cosmic radiationsMkuu mbna kama huo ni moto kabisa unaounguza? Hiyo radiation inakuaje apo.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hapa kama itakuwa ni kweli basi wametudhibiti sana. kuharibu mfumo wa kufikiri kwetu! Labda kizazi cha baada ya sisi au watoto wetu kitaweza leta mapinduzi.Sipendi Kucoment sana now a days ila Nashawishika Hapa..
Mwafrika alipumbazwa na Mzungu, Kwa Kiasi Kikubwa Mzungu alimfanya Mwafrika Kufeli, labda baada ya wao kuendelea Mapema zaidi.. kwa ufupi soma hapa chini.. ilikuwa kabla hata ya Mkutano wa Berlin
Mkuu ungeweza kuendelea na shule tu wakati huo huo ukitafuta "hayo maarifa" mengine mengine ..me naona ungekuwa sawa tu.Unajua nini..
Hicho ulichosema sasa ndio ni moja kati ya sababu zilizonifanya niishie kidato cha 4 tu. Wengi hawakunielewa na waliniona mjinga but mm naona niko sahihi.
Tunafundishwa shule labda 20% ya mambo yaliyo duniani yaliyobaki yote tunafichwa coz unasoma kile kitu ambacho watu wengine wanataka ujue. Mm niliamua kutoka kwenye huo mtego na nashukuru kama maarifa ninayo ya kutosha tu
Hazikutawaliwa lakini zinatawaliwa kwa asahvi kwahyo hamna namnaKwanini wafiche?
Nani anaficha?
Nasisi tuna akili gani mpaka tufichiwe mambo yetu wenyewe?
Mkuu,
Tukiwekeza zaidi wa Afrika kwenye mambo ya msingi na yenye kujenga tuna uwezo wa kufanya makubwa. Mchawi wetu afrika ni sisi wenyewe tusiwasingizie wazungu.
Ethiopia na liberia (?) Hazikutawaliwa ningetegemea ziwe nchi za kwanza hapa afrika kimaendeleo kwa kila nyanja.
Unachotaka kusema ni sawa na warabu wanashinda wanauana wao kwa wao hafu wanasema kua wanachonganishwa na wazungu! Hivi ushajua kama mzungu ndio anawachonganisha why muendelee kupigana?
Haya wa Afrika tushajua tumefichwa vitu vingi kwanini sasa hatufanyi juhudi kuvifichua nasi tuendelee?