Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Habari zenu ndg zangu,
Natambua hapa kuna watu wa rika zote na tamaduni zote, sasa mwenye uelewa na hili afunguke ili tujifunze, na tuone utofauti.
katika suala la kuoa:
baadhi ya wazee wetu walikuwa au tuseme "wana" wana utaratibu huu;-
1. Kijana anapotaka kuoa, sharti aoe akiwa nyumbani kwa baba yake, na anaweza kuruhusiwa kwenda kwake baada ya kupata mtoto!
Je, hii ina/ilikuwa na maana gani hasa?
2. Unakumbuka nini zaidi (hasa kwenye kuolewa na kuoa)?
Unaweza kujibu namba 1, au 2.. karibu
jasiri haachi asili
Natambua hapa kuna watu wa rika zote na tamaduni zote, sasa mwenye uelewa na hili afunguke ili tujifunze, na tuone utofauti.
katika suala la kuoa:
baadhi ya wazee wetu walikuwa au tuseme "wana" wana utaratibu huu;-
1. Kijana anapotaka kuoa, sharti aoe akiwa nyumbani kwa baba yake, na anaweza kuruhusiwa kwenda kwake baada ya kupata mtoto!
Je, hii ina/ilikuwa na maana gani hasa?
2. Unakumbuka nini zaidi (hasa kwenye kuolewa na kuoa)?
Unaweza kujibu namba 1, au 2.. karibu
jasiri haachi asili