Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,549
Baadhi ya Tuzo zilizotolewa zinafikirisha, kwa mfano mkurugenzi anapokeaje tuzo ilihali katika taasisi anayoiongoza ina watu zaidi ya 100 ambao wao ndio wanaofanya kazi kwa kutaabika kumenyeka, muda mwingine kuhatarisha afya na maisha yao.
Hivyo kwangu mimi kumshindanisha kiongozi wa Taasisi na mtumishi wake haiko sawa, anaefanya kazi sana ni mtumishi, kiongozi ni mchora ramani na muongoza dira.
Nafikiri viongozi wa Taasisi wangekua na tuzo zao ambazo zitashindanisha Taasisi zao mathalani Tuzo za Taasisi zote, tuzo za Taasisi husika Mathalani Viongozi wa Tanesco kwanzia ngazi ya miji mpaka Taifa
Hivyo kwayaliotokea jana nikama Tuzo za mchongo.
Na kwa utafiti kasiko rasmi wale viongozi wakubwa walilamba tuzo zenye mkwanja mrefu.
Tuzo hizi pia zinapaswa kuangaliwa vizuri kwakushindanisha watu wanaofanya kazi zinazo landana, kumshindanisha Daktari na Afisa maendeleo au Afisa nyuiki automatic Daktari ataonekana anapaswa kushinda.
Hivyo kwangu mimi kumshindanisha kiongozi wa Taasisi na mtumishi wake haiko sawa, anaefanya kazi sana ni mtumishi, kiongozi ni mchora ramani na muongoza dira.
Nafikiri viongozi wa Taasisi wangekua na tuzo zao ambazo zitashindanisha Taasisi zao mathalani Tuzo za Taasisi zote, tuzo za Taasisi husika Mathalani Viongozi wa Tanesco kwanzia ngazi ya miji mpaka Taifa
Hivyo kwayaliotokea jana nikama Tuzo za mchongo.
Na kwa utafiti kasiko rasmi wale viongozi wakubwa walilamba tuzo zenye mkwanja mrefu.
Tuzo hizi pia zinapaswa kuangaliwa vizuri kwakushindanisha watu wanaofanya kazi zinazo landana, kumshindanisha Daktari na Afisa maendeleo au Afisa nyuiki automatic Daktari ataonekana anapaswa kushinda.