Marie Antoinette
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 426
- 412
Pichani, ni magari ya kivita na siraha nzito. Zilitelekezwa na jeshi la Congo, na kwa sasa ni mali ya M23.
Hakika na serikali ya DRC ni mmoja wa wafadhili wakubwa wa M23.
Pamoja na vifaa hivyo, imo ndege moja ya kivita, aina ya Sukhoi -25.
Zaidi ya wanajeshi 480 ambao ni RG(Rwpublican Guard) na Special Force, walizidiwa na kukamatwa mateka na M23, leo hii wapo chini ya ulinzi wa kundi hilo, huku wakiaubiri nini kidanyike.
View: https://x.com/dachronica/status/1885065803415871618?s=46
Hakika na serikali ya DRC ni mmoja wa wafadhili wakubwa wa M23.
Pamoja na vifaa hivyo, imo ndege moja ya kivita, aina ya Sukhoi -25.
Zaidi ya wanajeshi 480 ambao ni RG(Rwpublican Guard) na Special Force, walizidiwa na kukamatwa mateka na M23, leo hii wapo chini ya ulinzi wa kundi hilo, huku wakiaubiri nini kidanyike.
View: https://x.com/dachronica/status/1885065803415871618?s=46