Baadhi ya vifaa walivyozawadiwa M23

Baadhi ya vifaa walivyozawadiwa M23

Pichani, ni magari ya kivita na siraha nzito. Zilitelekezwa na jeshi la Congo, na kwa sasa ni mali ya M23.

Hakika na serikali ya DRC ni mmoja wa wafadhili wakubwa wa M23.

Pamoja na vifaa hivyo, imo ndege moja ya kivita, aina ya Sukhoi -25.

Zaidi ya wanajeshi 480 ambao ni RG(Rwpublican Guard) na Special Force, walizidiwa na kukamatwa mateka na M23, leo hii wapo chini ya ulinzi wa kundi hilo, huku wakiaubiri nini kidanyike.


View: https://x.com/dachronica/status/1885065803415871618?s=46

View attachment 3219086View attachment 3219087View attachment 3219088View attachment 3219089

Serikali ya congo inawalipa wanajeshi $83 per month. Nani afe kwa ela hiyo. Juzi nasikiliza bbc wananchi wanadai wanajeshi walikimbia na wakati wakikimbia wakawa wanavamia maduka na kupora mali za watu
 
Hivi sisi hatuwezi kutengeneza Mizinga yetu?!
Unazuungumzia mizinga!

Hata zile bunduki tu za kupigania waheshimiwa wanajeshi hawana uwezo wa kujenga viwanda ama kuunda.

Africa ina nchi za ajabu sana.

Sisi hapa kilianzishwa kiwanda cha risasi na maguruneti hapo Mzinga Morogoro na Nyerere, hakikuendelezwa sijui hadi leo kama kinafanya kazi.

Mkuu kuunda mizinga ama zana zingine nzito za kivita kwa viongozi wa Afrika ngozi black ni njonzi zilizo beyond na ndoto zao.
 
Drc haina serikali ....
Hiyo Serikali ipo Kinshasa tu. Halafu haina mpangilio wa kiutawala na pia Jeshi linaloeleweka. Unaonba msaada wa kijeshi wakati Jeshi lako hata hawajui wanapigana na nani na wepesi wa kuacha silaha na kujisalimisha kwa maadui ili kuponya roho zao. Uingiapo kazi ya Jeshi ujue upo tayari kufa kwa ajili ya nchi yako. Lakini ukiingia huko ili upate mshahara jua wewe ni msaliti hata kabla ya vita kuanza.
 
Najivunia kuzaliwa na kuwa mtanzania !!!!.

Tanzania yangu haivumilii mifumo ya kijinga ya kutowalipa askari wetu fedha kiduchu kama wanazolipwa wanajeshi wa DRC....

Kweli AKILI nyingi zimejichimbia Tanzania ,thanks Almighty God!

#JMT Kwanza na milele!
#Anayetaka kuivunja JMT avunjwe mgongo wake !!
 
Hiyo Serikali ipo Kinshasa tu. Halafu haina mpangilio wa kiutawala na pia Jeshi linaloeleweka. Unaonba msaada wa kijeshi wakati Jeshi lako hata hawajui wanapigana na nani na wepesi wa kuacha silaha na kujisalimisha kwa maadui ili kuponya roho zao. Uingiapo kazi ya Jeshi ujue upo tayari kufa kwa ajili ya nchi yako. Lakini ukiingia huko ili upate mshahara jua wewe ni msaliti hata kabla ya vita kuanza.
Ongezea kwamba hata wazungu wenyewe, wanaamini hakuna nchi yenye utajiri(mali asili)nyingi zaidi ya Congo.
 
Back
Top Bottom