Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho asubuhi m23 watakunywa chai Kinshasa.Vifaa wamepewa na Rwanda hivyo
Wanywe tu kwa nchi ambayo wanasalitiana hivyo vitu vya kawaida sana. Ila kwa wasiosalitiana m23 ni utumbo wa kuku tuKesho asubuhi m23 watakunywa chai Kinshasa.
Ohooooo, nafikiri hizo hazitumiki ukiangalia vizuri zimewekwa mlango wa kuingilia kambini ni kama "pambo" kwa namna fulaniHizi Howitzer ni za second World War au ziliibiwa Museums?!
Au Afrika tumefanywa jalala la kutupa silaha za kizamani?!
View attachment 3244155
Hadi leo zinatumika kwenye majeshi yetu kwenye vikosi vya Artilery.Hizi Howitzer ni za second World War au ziliibiwa Museums?!
Au Afrika tumefanywa jalala la kutupa silaha za kizamani?!
View attachment 3244155
Hivi sisi hatuwezi kutengeneza Mizinga yetu?!Hadi leo zinatumika kwenye majeshi yetu kwenye vikosi vya Artilery.
Pichani, ni magari ya kivita na siraha nzito. Zilitelekezwa na jeshi la Congo, na kwa sasa ni mali ya M23.
Hakika na serikali ya DRC ni mmoja wa wafadhili wakubwa wa M23.
Pamoja na vifaa hivyo, imo ndege moja ya kivita, aina ya Sukhoi -25.
Zaidi ya wanajeshi 480 ambao ni RG(Rwpublican Guard) na Special Force, walizidiwa na kukamatwa mateka na M23, leo hii wapo chini ya ulinzi wa kundi hilo, huku wakiaubiri nini kidanyike.
View: https://x.com/dachronica/status/1885065803415871618?s=46
View attachment 3219086View attachment 3219087View attachment 3219088View attachment 3219089
Unazuungumzia mizinga!Hivi sisi hatuwezi kutengeneza Mizinga yetu?!
KabisaSerikali iliyopo DRC ni ya wahuni!
Hiyo Serikali ipo Kinshasa tu. Halafu haina mpangilio wa kiutawala na pia Jeshi linaloeleweka. Unaonba msaada wa kijeshi wakati Jeshi lako hata hawajui wanapigana na nani na wepesi wa kuacha silaha na kujisalimisha kwa maadui ili kuponya roho zao. Uingiapo kazi ya Jeshi ujue upo tayari kufa kwa ajili ya nchi yako. Lakini ukiingia huko ili upate mshahara jua wewe ni msaliti hata kabla ya vita kuanza.Drc haina serikali ....
Ongezea kwamba hata wazungu wenyewe, wanaamini hakuna nchi yenye utajiri(mali asili)nyingi zaidi ya Congo.Hiyo Serikali ipo Kinshasa tu. Halafu haina mpangilio wa kiutawala na pia Jeshi linaloeleweka. Unaonba msaada wa kijeshi wakati Jeshi lako hata hawajui wanapigana na nani na wepesi wa kuacha silaha na kujisalimisha kwa maadui ili kuponya roho zao. Uingiapo kazi ya Jeshi ujue upo tayari kufa kwa ajili ya nchi yako. Lakini ukiingia huko ili upate mshahara jua wewe ni msaliti hata kabla ya vita kuanza.