chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Hivi vitoto mda mwengine vinakasirisha sana.ukimueleza unatakiwa kupitia hivi basi analeta uchuo uchuo wake unatamani kukazapa vibao.
Vijana wengi waliopo vyuo ndoto zao wanaamini kuajiliwa serikalini ila sio ajira zote zinatoka serikalini.
Vikiwa chuo vinajiona vimetoboa maisha na kutucheka baba na mama zao tuliopo huku mtaani tuna fanana na vyuma chakavu.
Vyengine vinajifanya vitaalamu vya fasihi na uchumi utazani walizaliwa kabla ya wazazi wao.
Sikilizeni wazazi na wakubwa wenu wanajua wanayopitia na wapi pakutokea.
unakakuta kanasoma political science katoto ka mkulima hata baba yake katibu tarafa ajawai shika.
Someni vitu ambavyo vipo kwa ajili ya wazazi wenu kuendeleza kama mmepata bahati ukoo wenu.
Vijana wengi waliopo vyuo ndoto zao wanaamini kuajiliwa serikalini ila sio ajira zote zinatoka serikalini.
Vikiwa chuo vinajiona vimetoboa maisha na kutucheka baba na mama zao tuliopo huku mtaani tuna fanana na vyuma chakavu.
Vyengine vinajifanya vitaalamu vya fasihi na uchumi utazani walizaliwa kabla ya wazazi wao.
Sikilizeni wazazi na wakubwa wenu wanajua wanayopitia na wapi pakutokea.
unakakuta kanasoma political science katoto ka mkulima hata baba yake katibu tarafa ajawai shika.
Someni vitu ambavyo vipo kwa ajili ya wazazi wenu kuendeleza kama mmepata bahati ukoo wenu.