Aisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Bob Marley akiwa waangalia BAVICHA anatapika kila siku huko aliko walahi
Mandela na kina Nkrumah ndio wanarusha laana kwa CHADEMA Kila dakika walahi
I know, matajiri wengi wenye asili ya uarabu hawataki kusikia hizi nchi kabisaUb
Ubaya wa hiyo hali ni nini?
Haaaaa hamchomoi walahiBob Marley akiwa waangalia BAVICHA anatapika kila siku huko aliko walahi
Mandela na kina Nkrumah ndio wanarusha laana kwa CHADEMA Kila dakika walahi
Jiwe alishaonywa kumkumbatia Bashite siku atakuja kujuta sasa ndio tunaelekea kujuta
weka link acha porojoAisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Aisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Jiwe jinga jinga tu linaongea kilevilevi lina roho mbaya kama jiniUpumbavu waliuanza wazazi wako kwa kutovaa condom, sasa unatusumbua na ulimbukeni wako.
Ningefurahi zaidi kama MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA MAKOSA YA JINAI (ICJ) ingeambatanisha na hati ya kukamatwa kwao (Arrest Warrant) wakitoka nje ya nchi.
Iwe fundisho kwa wengine.[emoji53] [emoji18]
Yule hata viza tu bila zuio apatitanzania sweetheart ndani ....
kkkkk !
sijui yule mratibu wa utekaji, mhamiaji kutoka rwanda yumo ?
Makonda itakuwa issue ya Mashoga nini? maana Wazungu wanaupenda ushogaAisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Kila zama na kitabu chakeUngekuwepo wakati wa ukoloni usingethubutu kuyasema haya. Ungekuwepo South Africa wakati wa ubaguzi ungeyasema haya