Usitegemee chochote kutoka BAKWATA na KKKTTEC wameweka msimamo wao, Shehe Ponda kaweka msimamo wake, Askofu Mwamakula kaweka msimamo wake.
Bado BAKWATA na baadhi ya Makanisa.
Huko sahauUsitegemee chochote kutoka BAKWATA na KKKT
Ponda na Tec nawakubali sana. Huwa wanatembeza spana hadi Lumumb buku 7 utasikia Yalaaaaah!TEC wameweka msimamo wao, Shehe Ponda kaweka msimamo wake, Askofu Mwamakula kaweka msimamo wake.
Bado BAKWATA na baadhi ya Makanisa.
Wanasubiri kukusanya sadaka tu makondoo wao tuViongozi wa Dini nyingine, kwa nini mnakaa kimya wakati Watanzania wanapitia katika mateso mbalimbali?
Kuna suala la wamasai wa Ngorongoro na suala la kutekwa watu, viongozi mbalimbali wa Dini wamejaribu kupaza sauti zao kukemea maovu yanayofanywa lakini viongozi wa Dini nyingine mpo wapi?
Hamyaoni haya?