Bzimana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 554
- 159
hivi ikitokea kukawa na mfumo unaofanana fanana na NECTA kuweka paper la pamoja kuna baadhi ya vyuo itakuwa ni aibu tupu, vitashika mikia miaka yote, mimi naamini aliyepata four au 3 ya mwisho anaweza kufaulu maisha kumshinda wa Dvs 1 na 2, ila sio kumshinda GPA..