baadhi ya vyuo, ni bora vyuo.!

baadhi ya vyuo, ni bora vyuo.!

Bzimana

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
554
Reaction score
159
hivi ikitokea kukawa na mfumo unaofanana fanana na NECTA kuweka paper la pamoja kuna baadhi ya vyuo itakuwa ni aibu tupu, vitashika mikia miaka yote, mimi naamini aliyepata four au 3 ya mwisho anaweza kufaulu maisha kumshinda wa Dvs 1 na 2, ila sio kumshinda GPA..
 
Acha upimbi wewe!! Kipimo cha elimu yako ni mtihani na mtihani huo utaufanya ukifeli conclusion hujui!! Manake huna akili!! Hata vyuo vya nje mnavyosema ni bora nao gpa wanafuata process hizihizi tufanyavyo sisi!! Damn!
 
Back
Top Bottom