Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Baadhi ya Wabunge wameitaka serikali kusitisha utekelezaji wa miradi mikubwa ili fedha hizo kwa sasa zielekezwe katika mapamabano ya ugonjwa wa Corona.
Sambamba na hilo, wameitaka serikali kupunguza mishahara ya viongozi waandamizi serikalini pamoja na wabunge ili fedha hizo zielekezwe katika kudhibiti ugonjwa huo.
Chanzo: ITV Habari
------
Naunga mkono hoja. Bunge limeanza kukomaa kiakili.
Sambamba na hilo, wameitaka serikali kupunguza mishahara ya viongozi waandamizi serikalini pamoja na wabunge ili fedha hizo zielekezwe katika kudhibiti ugonjwa huo.
Chanzo: ITV Habari
------
Naunga mkono hoja. Bunge limeanza kukomaa kiakili.