Tetesi: Baadhi ya wabunge wa viti maalum CHADEMA, kupokelewa CHADEMA makao makuu Juni baada ya bunge kuvunjwa

Tetesi: Baadhi ya wabunge wa viti maalum CHADEMA, kupokelewa CHADEMA makao makuu Juni baada ya bunge kuvunjwa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Huenda hatma ya uanachama wa wabunge wa viti maalumu wa chadema, maarufu kama wabunge wa COVID-19, ikajulikana mara tu ya bunge kuvunjwa. Inasemekana watapokelewa kwa mapokezi maalumu rasmi chadema mwezi June mwaka huu, mara baada ya ya vikao rasmi vya maridhiano na muafaka wa pamoja kufikiwa.

Wabunge hao waliotengwa na chadema tangu mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, wataendelea na shughuli zao mjengoni huku mazungumzo yasiyo rasmi baina yao na uongozi mpya wa Chadema taifa yakiendelea vizuri na kutoa matumaini ya muafaka mwema wa pamoja kufikiwa baina yao, huenda ikawa mapema zaidi hata kabla ya mwezi June, muda wa mwisho uliowekwa kuelekea uchaguzi mkuu. Haya yote yanatokea na kufanyika, baada ya mvurugano wa kisheria ngazi ya chama na mahakamani kwa takribani miaka mitano iliyopita.

Taarifa za chini ya kapeti kadiri alivyodokeza mnyetishaji wa tetesi hiii, zinaeleza kwamba wabunge hao tayari wamezilipia kadi zao za uanachama kwa muda mrefu zaidi, lakini pia wanauunga mkono uongozi mpya pamoja na uelekeo wake, na tayari wameupokea vizuri sana hata wito wa mwenyekiti wa Chadema taifa, kwa wanachama na wadau wa chama hicho kukichangia chama hicho kwa hali na mali ili hatimae kipate nguvu ya rasilimali fedha kujiendesha. Na tayari baadhi yao wameshachangia kwa njia ya mtandao na kiasi kingine kimewasilishwa HQ kama ujumbe maalumu kwa uongozi mpya.

Mazungumzo rasmi baina ya wabunge hao na uongozi mpya wa Chadema yanasemekana yanaweza kuanza wakati wowote kuanzia sasa, ili hatimae kua na muafaka wa pamoja mapema iwezekanavyo kwasababu wabunge hao wanahitajika zaidi ndani ya chadema, kuliko wao wanavyohitaji kurudi chadema, kutokana na nguvu ya ushawishi walionao kwenye chama na jamii kwa ujumla.

Ifahamike kwamba sio wabunge wote watakaorejea chadema, baadhi yao wanaelekea vyama vingine vya siasa na kuendelea na maisha mengine.

Ndugu mdau una maoni gani na uelekeo huu wa Chadema na wabunge hawa wa viti maalumu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Huu ujinga unaoandika pelekea chawa wenzio huko uliko.
Unakesha kutwa kucha kuandika uharo tu, Eti na wewe unampambania Mama yenu. Hicho chama kimejaa wajinga sana kama wewe ndo mwenye unafuu unayeaminiwa kukitetea.
 
Huu ujinga unaoandika pelekea chawa wenzio huko uliko.
Unakesha kutwa kucha kuandika uharo tu, Eti na wewe unampambania Mama yenu. Hicho chama kimejaa wajinga sana kama wewe ndo mwenye unafuu unayeaminiwa kukitetea.
andika ujanja basi ndugu muerevu?
mihemko na makasiriko ya nini kwenye hoja bayana na rahisi kama hiyo?

wabunge wa COVID-19 wanarudi chadema na wanapewa nafasi za uongozi,
who are you kuzuia hilo gentleman, una mbwelambwela tu humu na ghadhabu za kinyumbu?🐒
 
Huenda hatma ya uanachama wa wabunge wa viti maalumu wa chadema, maarufu kama wabunge wa COVID-19, ikajulikana mara tu ya bunge kuvunjwa. Inasemekana watapokelewa kwa mapokezi maalumu rasmi chadema mwezi June mwaka huu, mara baada ya ya vikao rasmi vya maridhiano na muafaka wa pamoja kufikiwa.

Wabunge hao waliotengwa na chadema tangu mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, wataendelea na shughuli zao mjengoni huku mazungumzo yasiyo rasmi baina yao na uongozi mpya wa Chadema taifa yakiendelea vizuri na kutoa matumaini ya muafaka mwema wa pamoja kufikiwa baina yao, huenda ikawa mapema zaidi hata kabla ya mwezi June, muda wa mwisho uliowekwa kuelekea uchaguzi mkuu. Haya yote yanatokea na kufanyika, baada ya mvurugano wa kisheria ngazi ya chama na mahakamani kwa takribani miaka mitano iliyopita.

Taarifa za chini ya kapeti kadiri alivyodokeza mnyetishaji wa tetesi hiii, zinaeleza kwamba wabunge hao tayari wamezilipia kadi zao za uanachama kwa muda mrefu zaidi, lakini pia wanauunga mkono uongozi mpya pamoja na uelekeo wake, na tayari wameupokea vizuri sana hata wito wa mwenyekiti wa Chadema taifa, kwa wanachama na wadau wa chama hicho kukichangia chama hicho kwa hali na mali ili hatimae kipate nguvu ya rasilimali fedha kujiendesha. Na tayari baadhi yao wameshachangia kwa njia ya mtandao na kiasi kingine kimewasilishwa HQ kama ujumbe maalumu kwa uongozi mpya.

Mazungumzo rasmi baina ya wabunge hao na uongozi mpya wa Chadema yanasemekana yanaweza kuanza wakati wowote kuanzia sasa, ili hatimae kua na muafaka wa pamoja mapema iwezekanavyo kwasababu wabunge hao wanahitajika zaidi ndani ya chadema, kuliko wao wanavyohitaji kurudi chadema, kutokana na nguvu ya ushawishi walionao kwenye chama na jamii kwa ujumla.

Ifahamike kwamba sio wabunge wote watakaorejea chadema, baadhi yao wanaelekea vyama vingine vya siasa na kuendelea na maisha mengine.

Ndugu mdau una maoni gani na uelekeo huu wa Chadema na wabunge hawa wa viti maalumu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ndio uzi wa cdm ulioingilia ofisini, ama ulishaweka mwingine?
 
Huenda hatma ya uanachama wa wabunge wa viti maalumu wa chadema, maarufu kama wabunge wa COVID-19, ikajulikana mara tu ya bunge kuvunjwa. Inasemekana watapokelewa kwa mapokezi maalumu rasmi chadema mwezi June mwaka huu, mara baada ya ya vikao rasmi vya maridhiano na muafaka wa pamoja kufikiwa.

Wabunge hao waliotengwa na chadema tangu mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, wataendelea na shughuli zao mjengoni huku mazungumzo yasiyo rasmi baina yao na uongozi mpya wa Chadema taifa yakiendelea vizuri na kutoa matumaini ya muafaka mwema wa pamoja kufikiwa baina yao, huenda ikawa mapema zaidi hata kabla ya mwezi June, muda wa mwisho uliowekwa kuelekea uchaguzi mkuu. Haya yote yanatokea na kufanyika, baada ya mvurugano wa kisheria ngazi ya chama na mahakamani kwa takribani miaka mitano iliyopita.

Taarifa za chini ya kapeti kadiri alivyodokeza mnyetishaji wa tetesi hiii, zinaeleza kwamba wabunge hao tayari wamezilipia kadi zao za uanachama kwa muda mrefu zaidi, lakini pia wanauunga mkono uongozi mpya pamoja na uelekeo wake, na tayari wameupokea vizuri sana hata wito wa mwenyekiti wa Chadema taifa, kwa wanachama na wadau wa chama hicho kukichangia chama hicho kwa hali na mali ili hatimae kipate nguvu ya rasilimali fedha kujiendesha. Na tayari baadhi yao wameshachangia kwa njia ya mtandao na kiasi kingine kimewasilishwa HQ kama ujumbe maalumu kwa uongozi mpya.

Mazungumzo rasmi baina ya wabunge hao na uongozi mpya wa Chadema yanasemekana yanaweza kuanza wakati wowote kuanzia sasa, ili hatimae kua na muafaka wa pamoja mapema iwezekanavyo kwasababu wabunge hao wanahitajika zaidi ndani ya chadema, kuliko wao wanavyohitaji kurudi chadema, kutokana na nguvu ya ushawishi walionao kwenye chama na jamii kwa ujumla.

Ifahamike kwamba sio wabunge wote watakaorejea chadema, baadhi yao wanaelekea vyama vingine vya siasa na kuendelea na maisha mengine.

Ndugu mdau una maoni gani na uelekeo huu wa Chadema na wabunge hawa wa viti maalumu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Gentleman hapo umetia chumvi sana
 
Ndio uzi wa cdm ulioingilia ofisini, ama ulishaweka mwingine?
wamama walipigiwa makelele na midomo miiiingi sasa wanarejea kundini kwa kishindo huku mpiga mdomo mkuu akiwa ameufyata 🤣

umaskini ni kitu mbaya sana.
ndugu zangu pesa ni kitu kizuri sana. Yaani pamoja na ukali wote wa huyu kibaka kiongozi wa chadema, leo hii anawaandalia mapokezi ya kishujaa 🤣
 
andika ujanja basi ndugu muerevu?
mihemko na makasiriko ya nini kwenye hoja bayana na rahisi kama hiyo?

wabunge wa COVID-19 wanarudi chadema na wanapewa nafasi za uongozi,
who are you kuzuia hilo gentleman, una mbwelambwela tu humu na ghadhabu za kinyumbu?🐒
Chama cha siasa kinahitaji watu... Kama wanaenda kuna shida gani? Uzuri ni kwamba wengine wapo ccm lakini maamuzi yao yapo upinzani!
Ni suala la muda tu!
 
Gentleman hapo umetia chumvi sana
Gentleman,
sukari aliyolambishwa mwenyekiti mpya wa Chadema na hawa wa mama wa COVID-19, itaonekana wazi mashavuni mwake mwezi June, ikiwa nilichoibua leo February ni chumvi,

pesa ni kitu kizuri sana ndrugu zango, tufanye bidii kuitafuta. Hakuna mfupa ngumu kwa fisi 🐒
 
Chama cha siasa kinahitaji watu... Kama wanaenda kuna shida gani? Uzuri ni kwamba wengine wapo ccm lakini maamuzi yao yapo upinzani!
Ni suala la muda tu!
uko sahihi,
hakuna shida gentleman 🐒
 
Huenda hatma ya uanachama wa wabunge wa viti maalumu wa chadema, maarufu kama wabunge wa COVID-19, ikajulikana mara tu ya bunge kuvunjwa. Inasemekana watapokelewa kwa mapokezi maalumu rasmi chadema mwezi June mwaka huu, mara baada ya ya vikao rasmi vya maridhiano na muafaka wa pamoja kufikiwa.

Wabunge hao waliotengwa na chadema tangu mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, wataendelea na shughuli zao mjengoni huku mazungumzo yasiyo rasmi baina yao na uongozi mpya wa Chadema taifa yakiendelea vizuri na kutoa matumaini ya muafaka mwema wa pamoja kufikiwa baina yao, huenda ikawa mapema zaidi hata kabla ya mwezi June, muda wa mwisho uliowekwa kuelekea uchaguzi mkuu. Haya yote yanatokea na kufanyika, baada ya mvurugano wa kisheria ngazi ya chama na mahakamani kwa takribani miaka mitano iliyopita.

Taarifa za chini ya kapeti kadiri alivyodokeza mnyetishaji wa tetesi hiii, zinaeleza kwamba wabunge hao tayari wamezilipia kadi zao za uanachama kwa muda mrefu zaidi, lakini pia wanauunga mkono uongozi mpya pamoja na uelekeo wake, na tayari wameupokea vizuri sana hata wito wa mwenyekiti wa Chadema taifa, kwa wanachama na wadau wa chama hicho kukichangia chama hicho kwa hali na mali ili hatimae kipate nguvu ya rasilimali fedha kujiendesha. Na tayari baadhi yao wameshachangia kwa njia ya mtandao na kiasi kingine kimewasilishwa HQ kama ujumbe maalumu kwa uongozi mpya.

Mazungumzo rasmi baina ya wabunge hao na uongozi mpya wa Chadema yanasemekana yanaweza kuanza wakati wowote kuanzia sasa, ili hatimae kua na muafaka wa pamoja mapema iwezekanavyo kwasababu wabunge hao wanahitajika zaidi ndani ya chadema, kuliko wao wanavyohitaji kurudi chadema, kutokana na nguvu ya ushawishi walionao kwenye chama na jamii kwa ujumla.

Ifahamike kwamba sio wabunge wote watakaorejea chadema, baadhi yao wanaelekea vyama vingine vya siasa na kuendelea na maisha mengine.

Ndugu mdau una maoni gani na uelekeo huu wa Chadema na wabunge hawa wa viti maalumu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Umempambania mbowe imeshindikana,umempiga vita TUNDU ANTIPAS LISSU nayo imeshindikana na sasa umeamia upande wa uzushi na uongo nao pia utashindikana maana sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU.
 
Umempambania mbowe imeshindikana,umempiga vita TUNDU ANTIPAS LISSU nayo imeshindikana na sasa umeamia upande wa uzushi na uongo nao pia utashindikana maana sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU.
Gentleman,
kama mtaalamu mbobevu na mshauri muandamizi wa masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi naeleza mambo yaliyopita ikiwa yana umuhimu sasa, naeleza mambo yanayoendelea sasa ndani ya vyama vya siasa nchini ikiwa ni pamoja na chadema, lakini pia naeleza mambo yajayo kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Tatizo liko wapi gentleman ikiwa nakuandaa kisaikojia dhidi ya mambo haya muhimu?

chukua hiyo sasa,
wabunge wa COVID-19 waliopingwa vikali sana na Lisu, ni rasmi atawapokea kishujaa zaidi chadema HQ ifikapo mwezi June.

hapa tunajifunza kwamba Pesa ni kitu kizuri sana na umaskini ni mbaya sana ndugu zangu 🐒
 
Majuto ni mjukuu. Hawa Wabunge sasa hivi wanajuta sana kwa kitendo chao cha kujipeleka Bungeni. Wangevumilia miaka hii mitano hakika wangerudi mjengoni. Bunge lijalo CHADEMA watakuwa na Wabunge wengi mjengoni. Sidhani kama wanaweza kurudishwa hivi hivi bila kutoa sababu ya kuingia Bungeni bila baraka ya Chama.
 
Huenda hatma ya uanachama wa wabunge wa viti maalumu wa chadema, maarufu kama wabunge wa COVID-19, ikajulikana mara tu ya bunge kuvunjwa. Inasemekana watapokelewa kwa mapokezi maalumu rasmi chadema mwezi June mwaka huu, mara baada ya ya vikao rasmi vya maridhiano na muafaka wa pamoja kufikiwa.

Wabunge hao waliotengwa na chadema tangu mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, wataendelea na shughuli zao mjengoni huku mazungumzo yasiyo rasmi baina yao na uongozi mpya wa Chadema taifa yakiendelea vizuri na kutoa matumaini ya muafaka mwema wa pamoja kufikiwa baina yao, huenda ikawa mapema zaidi hata kabla ya mwezi June, muda wa mwisho uliowekwa kuelekea uchaguzi mkuu. Haya yote yanatokea na kufanyika, baada ya mvurugano wa kisheria ngazi ya chama na mahakamani kwa takribani miaka mitano iliyopita.

Taarifa za chini ya kapeti kadiri alivyodokeza mnyetishaji wa tetesi hiii, zinaeleza kwamba wabunge hao tayari wamezilipia kadi zao za uanachama kwa muda mrefu zaidi, lakini pia wanauunga mkono uongozi mpya pamoja na uelekeo wake, na tayari wameupokea vizuri sana hata wito wa mwenyekiti wa Chadema taifa, kwa wanachama na wadau wa chama hicho kukichangia chama hicho kwa hali na mali ili hatimae kipate nguvu ya rasilimali fedha kujiendesha. Na tayari baadhi yao wameshachangia kwa njia ya mtandao na kiasi kingine kimewasilishwa HQ kama ujumbe maalumu kwa uongozi mpya.

Mazungumzo rasmi baina ya wabunge hao na uongozi mpya wa Chadema yanasemekana yanaweza kuanza wakati wowote kuanzia sasa, ili hatimae kua na muafaka wa pamoja mapema iwezekanavyo kwasababu wabunge hao wanahitajika zaidi ndani ya chadema, kuliko wao wanavyohitaji kurudi chadema, kutokana na nguvu ya ushawishi walionao kwenye chama na jamii kwa ujumla.

Ifahamike kwamba sio wabunge wote watakaorejea chadema, baadhi yao wanaelekea vyama vingine vya siasa na kuendelea na maisha mengine.

Ndugu mdau una maoni gani na uelekeo huu wa Chadema na wabunge hawa wa viti maalumu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Chadema haishiriki uchaguzi. Sasa waaenda kuzuia uchaguzi?
 
wamama walipigiwa makelele na midomo miiiingi sasa wanarejea kundini kwa kishindo huku mpiga mdomo mkuu akiwa ameufyata 🤣

umaskini ni kitu mbaya sana.
ndugu zangu pesa ni kitu kizuri sana. Yaani pamoja na ukali wote wa huyu kibaka kiongozi wa chadema, leo hii anawaandalia mapokezi ya kishujaa 🤣
Nasema hivi, huu ukhanithi ndio umeanza nao, au ni muendelezo?
 
Huu ujinga unaoandika pelekea chawa wenzio huko uliko.
Unakesha kutwa kucha kuandika uharo tu, Eti na wewe unampambania Mama yenu. Hicho chama kimejaa wajinga sana kama wewe ndo mwenye unafuu unayeaminiwa kukitetea.
Hata mimi Hawa wabunge wakirudi Chadema nitaumia sana. Hawatakiwi kukaa na watu wanafiki na wazandiki kama Chadema.
 
Nasema hivi, huu ukhanithi ndio umeanza nao, au ni muendelezo?
relax gentleman,
huna haja ya kupanic kwa mihemko, just be informed kwamba pesa ni kitu mzuri sana, hata uwe mkali mwenye mdomo na makelele kiasi gani pesa na asali ikiwekwa mdomo pako unatulia tu kama kibaka na tapeli wa siasa ndani ya chadema alivyotulizwa 🐒
 
Back
Top Bottom