Mkuu mpira Ni mchezo wa wazi na sote tunaona.....Kama kila siku wanapangwa wao hata wasipokuwa Bora TAFSIRI yake ya haraka Ni wasipokuwa Bora bado Ni Bora kwa wale wanaoshindania namba nao yaani duchu na mwenda.
Kwa upande sio Kama kocha anahusika Sanaa Maana toka aussems mpk Leo Hawa ndio priority Nani wa kulaumiwa???