Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
- #21
Kwa Sasa hawanaa....labda mpk wakipata injuryIna maana hawana mbadala yaani Simba ina kikosi kidogo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Sasa hawanaa....labda mpk wakipata injuryIna maana hawana mbadala yaani Simba ina kikosi kidogo ?
KabisaMngeshinda haya tusingeyasikia
Mchezaji anakuwa sio bora baada ya kumuona akicheza chini ya kiwango. Tulimuona lini Duchu au Mwenda wakicheza mpaka tujiaminishe kuwa hawa sio bora kuliko hata Kapombe aliechoka? Kocha kakariri au anapangiwa kikosi na viongozi uchwara. Mfano zile mechi 2 dhidi ya Wydad unawezaje kumpanga Ally Salim halafu Beno Kakolanya aliefit unamuweka benchi, kama sio uswahili ni nini?Mkuu mpira Ni mchezo wa wazi na sote tunaona.....Kama kila siku wanapangwa wao hata wasipokuwa Bora TAFSIRI yake ya haraka Ni wasipokuwa Bora bado Ni Bora kwa wale wanaoshindania namba nao yaani duchu na mwenda.
Kwa upande sio Kama kocha anahusika Sanaa Maana toka aussems mpk Leo Hawa ndio priority Nani wa kulaumiwa???