Baadhi ya wadada ukipiga nao story, utasema wife to be huyu hapa, ingia nao kwenye mahusiano ndo utajua hujui

Naomba nikuhakikishie kuwa ndivyo wanapenda hivyo, wala hakuna kinachowanyima raha, As long as unawapa hela na huwaombi papuchi.

Kitachowanyima raha ni wewe kutokuwapa hela zako.
 
Sisi wanaume pia tuna mapungufu mengi, ila kinachotushangaza ni kuwa inakuaje sahivi karibia kila mdada ana upungufu unaofanana, huo wa kuomba omba hela, Yani ni as if wameambiana To yeye
Kumbe tatizo ni kuomba helaπŸ€”
 
Naomba nikuhakikishie kuwa ndivyo wanapenda hivyo, wala hakuna kinachowanyima raha, As long as unawapa hela na huwaombi papuchi.

Kitachowanyima raha ni wewe kutokuwapa hela zako.
Kuhusu kutokuwapa hela mbona long time nlikata huo mrija, na wao walivoona nawanyima kila saa, wakaacha vizinga. Kama huyo mdada mmoja alivyo na sura ya upole, hata ongea yake na the way she looks, she doesn't deserve kuwa mpiga vizinga kwa kweli

Ila nlichogundua wadada wengi wapiga vizinga hawako kwenye mahusiano ya maana, mara nyingi nawaonaga wako single binti kiziwi
 
Ni usenge mkuu iz huruma zinatufanya poor.
 
Aisee ni ungese sana huu kuna dem wangu kila wiki anafanya saving za 200k na hana kaz ya kueleweka na juzi kanunua simu kali muda huo huo anataka niwe namjali kwa kila kitu nikaona hapa ni kama ninamtengenezea mwenzangu maisha ilihali mie yakwangu ayaend
 
Daah nimecheka sana
 
Ukiona mwanamke yupo single na ashafika kwenye age ya kuolewa tambua ni red flag iyo, wanaume waliopita hapo na kukimbia sio wajinga.
Ni kweli mkuu kama huyu wangu wasasa aliwahi niambia kuwa ex wake alimtapeli 500k akalala mbele nikajiuliza why ila baada ya kuingia nae mchezoni nkaona kumbe mwamba alikuwa sawa hata mimi nikipata nafas nampiga vilevile
 
Amini mkuu kama mmoja juzi nilienda nae dynasty tuka have fun na nilitimia kama 150k kesho yake nikaja kumuuliza umeenjoy akasema yes kaenjoy kulingana na kipato tulichonacho it means nikama ajaridhika nkaona hapa smna mtu
 
Wazee wa Friendzone,wanachezea mizinga. Sometimes unaogopa kuzoeana na wanawake sababu ya mizinga.

Zamani tulikuwa tunaambiwa ukimtaka mwanamke,jenga nae urafiki ila siku hizi unajitafutia matatizo.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bro hizo ni kampeni za kutaka kumiliki jimbo. Usiwaamini hawa kenge
 
Yeah verry sure blood kama huyu wangu najiuliza why nimemkuta single kumbe wanaume wengi walishakimbia mabalaa yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…