Haha bahati nzuri binadamu ni wa chache wanayosema kuyatenda.Kwa wizi akisaidiwa na nyie?
Safari mumuase asijaribu.
Mkapa masononeko hadi aliyaweka kitabuni.
Tunataka uchaguzi ulio huru na wa haki si pungufu si zaidi.
Usiwasemee watz sema wwe.wengine tunaona mda hauendi tukalisambaratishe jiwe lisiumize Tena watuUngefanya jambo la maana kama ungemwambia Lissu asitishe kampeni maana iko wazi na hata yeye anajua kuwa hatoshinda. Watanzania bado tuna imani na Magufuli na tutamchagua tena
Nilifikiri unashauri waache kampeni kwa sababu ya corona ila naona corona imetulia inaheshimu kampeni au pengine bora watu wafe tu maana kampeni ni muhimu sana kuliko uhai wa mtu.
Ila tukumbuketu kuwa kama Magufuli angetumia sayansi kukabiliana na corona(kama ambavyo walikuwa wakipiga kelele humu kuwa afanye hivyo) basi sasa hata hizo kampeni tungekuwa tunazisikiliza kwenye majumbani na kusingekuwa na wa kushauriwa kuacha kampeni.
Mwenye Mvuto upiKwakweli alie karibu na Magufuli amshauri jamaa, hana mvuto kabisaaa