Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,264
- 835
Haha bahati nzuri binadamu ni wa chache wanayosema kuyatenda.Kwa wizi akisaidiwa na nyie?
Safari mumuase asijaribu.
Mkapa masononeko hadi aliyaweka kitabuni.
Tunataka uchaguzi ulio huru na wa haki si pungufu si zaidi.