Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Siku ya jana, Elon Musk alimtembelea Rais wa Marekani Donald Trump kwenye ofisi ya Rais maarufu kama Oval Office.
Kilichovutia na kushtua wengi ni baada ya kumleta mwanae katika kikao chake na Donald Trump, jambo ambalo limeleta hisia tofauti kwa wachambuzi mbalimbali wa siasa.
Kupitia mitandao ya kijamii, Reublicans wengi wamesifia kitendo cha Elon Musk kumleta mwanae Ikulu wakisema kuwa, hiyo ni ishara ya kukuza na kuheshimisha taasisi ya familia pamoja na utamaduni mzuri wa kupata watoto.
Upande wa Democrats, wengi wameonesha kushangazwa na kitendo hicho wakisema kuwa, Elon kumpeleka mwanae Oval Office tena kuwa na na waandishi wa habari ni ishara ya dharau na kutokuheshimu ofisi ya Rais
Mcheki mtoto wa elon musk akiwa ikulu ya white house chini ya meza ya Rais trump!
Siku ya jana, Elon Musk alimtembelea Rais wa Marekani Donald Trump kwenye ofisi ya Rais maarufu kama Oval Office.
Kilichovutia na kushtua wengi ni baada ya kumleta mwanae katika kikao chake na Donald Trump, jambo ambalo limeleta hisia tofauti kwa wachambuzi mbalimbali wa siasa.
Kupitia mitandao ya kijamii, Reublicans wengi wamesifia kitendo cha Elon Musk kumleta mwanae Ikulu wakisema kuwa, hiyo ni ishara ya kukuza na kuheshimisha taasisi ya familia pamoja na utamaduni mzuri wa kupata watoto.
Upande wa Democrats, wengi wameonesha kushangazwa na kitendo hicho wakisema kuwa, Elon kumpeleka mwanae Oval Office tena kuwa na na waandishi wa habari ni ishara ya dharau na kutokuheshimu ofisi ya Rais
Mcheki mtoto wa elon musk akiwa ikulu ya white house chini ya meza ya Rais trump!