Baadhi ya Wamarekani washangazwa n kitendo cha Elon Musk kumpeleka mtoto wake ndani ya Oval House kukutana na Donald Trump

Baadhi ya Wamarekani washangazwa n kitendo cha Elon Musk kumpeleka mtoto wake ndani ya Oval House kukutana na Donald Trump

Ekisii ashi a tweleve.Wakati mimi na umri kama wako wazazi walikuwa wananivunjia litawi la mti wa kisamvu nichezeee😁😁😁
 
Usichezee Hela Elon Musk ana nguvu na ushawishi kwasababu ana hela
 
Tambueni ya kwamba Elon Musk ndio tajiri namba moja duniani, alafu sio tajiri tu lakini ana miliki teknolojia ambayo ndio inategemewa duniani kwa hiyo ana superiority complex hata akiwa na Trump sababu fedha zake kwa sehemu zimechangia kumuingiza ikulu Trump, hapo ingekuwa ni mtu wakawaida asiyekuwa na sifa hizo angetolewa nduki.
Kabisa nakubaliana na wewe. Tena ndani ya Ikulu kavaa kapelo. 😛
 
Back
Top Bottom